Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YOTE YA NGOZI Karibu uwezeshwe kuondoa Chunusi, Makunyanzi, Ngozi yenye rangi zisizopendeza, Madoa, Makovu ya Chunusi nk Kwa uhakika na ndani ya muda mfupi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza shamba la ekari sita (6 acres). Lipo Kibaha kwa mfipa 3.5 kilomita kutoka Morohoro road. Shamba halina hati. Shamba lina minazi na miembe ya muda mfupi, pia kuna nyumba ya vyumba vitatu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi natoa huduma za ushauri wa biashara na kuweka mfumo mzuri wa rekodi ya biashara yako na vile vile nategeneza mizania za biashara ( Financial Statements), umuhimu wake ni kuwa biashara...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau ningependa kufanya hii kazi ya kuwa inspirational speaker hapa nchini na kwa kuanza nilitaka nifanye consultancy ya small business management kwa kuwakusanya wafanya biashara wadogo wadogo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
How Much Should You Consider a Brokerage's Reputation? May 13, 2013, 2:17:04 PM EDT A A A When it comes to keeping your money safe, and that certainly still matters when you're making...
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Wadau nataka kuanza kuuza kahawa ya moto, nauliza wapi naweza kupata disposable paper cup
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Mwenye taarifa jinsi ya kuwa agent wa cement ya bei nafuu ya Dangote, atujuze
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za J,pili wapendwa! Nina mtaji wa Mil 3 kwa eneo ninaloishi nahisi biashara yakuuza soda za jumla inaweza kunilipa. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anijuze masharti yake pia kianzio...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Je unawaza jinsi ya kuhamia kwenye nyumba yako mpya jinsi gani utasafirisha mizigo,utapangaje nyumba yako ?basi haina haja ya kusumbuka kwani tupo kwa ajili yako.tunatoa huduma zifuatazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari waungwana! Npo mkoani Lindi nmetembea nikagunduwa kuna baadhi ya maeneo hayana huduma za mpesa watu wanazifuata mbali,naomba muongozo nawezaje kuipata line ya mpesa na inanihitaji kuwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HABARI waungwana,nakaribisha matangazo mbalimbali katika website yangu ya Swahili media ambayo kila uchwao inazidi kuwa na wafuasi wengi ambao huitembelea na kusoma habari mbalimbali,gharama zetu...
0 Reactions
2 Replies
804 Views
You take care of your investment, we take care of your risk.
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Nauza gari Mitsubishi RVR, haitembei inafaa kwa spares. Body, viti vipo katika hali nzuri Anayehitaji anitumie pm.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawasalimu! Nina mgodi, nahitaji kuuza madini nchi za nje japo sijawahi na sijui bei zake. Naomba mwwnye kujua anisaidie kujua bei ya gram moja ya dhahabu ni dola ngapi??? Natanguliza shukrani
0 Reactions
10 Replies
3K Views
H
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Wana Jamvi habari, Kwanza napenda kutoa shukrani zangu kwa mola wetu kutufikisha salama mwaka huu 2016, na kwa wale waliopotelewa na wapendwa wao nawaombea kwa mola wetu mpewe nguvu na kuendelea...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish EURUSD traded lower on Monday, and then moved sideways until Friday, when it traded further southward, closing at...
0 Reactions
0 Replies
523 Views
Kwa wafanyabiashara wengi wanaosafiri na kuingiza mzigo hapa nchini uwa wana siri moja...USHIRIKIANO..wanaposafiri pamoja wengi ufikia hotel moja na chumba kimoja(sehemu kama...
13 Reactions
29 Replies
9K Views
Wakuu baada ya kukusanya mtaji kidogo nimeona vyema niwekeze katika uvuvi(Zowa Nyasa). Nafikiria kununua engine ya 15hp kwa kuanzia!! Nimeshaulizia utaratibu wa vibali pia namna ya kupata nyavu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
“The moral of the story is that you don’t know, I don’t know, nobody knows where price will go. Anybody who does claim to know either doesn’t understand how markets work, is selling something, or...
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Back
Top Bottom