Msaada wa anayeweza kutambua aina ya jiwe hili au mwenye kifaa kinachoza kupima chemistry ya Mawe Gemstone, tafadhani naombeni msaada wenu tafadhari wana JF
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS ? Part 19
?Just as picking up a five iron does not make you Tiger Woods, opening a brokerage account and sitting in front of a computer screen does...
Wadau wale wa kemikali ya mercury kwa ajili ya kuchakachulia dhahabu ningependa kulangua kemikali hii kwa small scale miners (wachimbaji wadogo). Mwenye kujua sippliers wakubwa wa mercury anipm...
Nchini kwetu Tanzania tumekua na bahati ya kuwa na madini mbalimbali kama dhahabu, almasi na Tanzanite.
Madini mengine ambayo hayapewi kipaumbele ni madini ujenzi ambayo hutumika sana katika...
Natamani kuuza bidhaa za MCL ili niwe nachukulia Mwanza kwani ni karibu na huku kwetu kuliko kufuata Dar es salam. Kama kuna mtu anafahamu walipo Mwanza anisaidie anwani halisi (Mtaa na jina la...
Wakuu Habari
Msimu wa maembe huku moshi umepamba moto.
Maembe yako yakutosha kama unahitaji magunia yakujaza fuso /Scania Kwa maembe unaeza wasiliana na mimi inbox au achia number hapa.
Bei...
Nina mawazo kadhaa kwa makampuni ya simu yenye kuongeza tija na mapato. Ninajiuliza hawa jamaa hununua mawazo na siku ya mwisho hakuna kuibiana? Ukitumia mwanasheria, huwa wanacomply kiasi gani...
Vigezo vya kuwa mpangaji bora vinatofautiana kati ya mwenye nyumba na mpangaji husika.
Baadhi ya vigezo ni
-Umejiriwa?
-Upo kwenye mahusiano?
-Una umri gani?
Soma makala yote bofya: DarProperty...
Watanzania inatakiwa tuanze kujifunza kuwa serious kama tunataka maendeleo. Hali ya mpaka wa Tunduma ambao hutumika na nchi nyingi za jirani siyo shwari kabisa. Tokea juzi mpaka hauna umeme na...
Fuso ina ton 10 lakini kutokana na manuva iliyofanyiwa inaweza kubeba hadi ton 18. Nataka nimkabidhi dereva awe ananipa hesabu ya mwezi. Matengenezo na service ndogo ndogo ni juu yake. Je...
Nipo Kigoma nahitaji kununua HISA kampuni ya TBL je nianzie wapi? Kiufupi nataka nimalize mchakato bila kusafiri mpaka dar es salaam maana gharama ni kubwa mno.
kwa wazoefu ambao wanamiliki hisa...
r transactions between Federal Reserve Banks. With a face value of 100,000 dollars, it is the highest-denominated piece of paper money ever produced by the United States. The note technically...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.