Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Huo mji naweza pata maduka ya jumla ya Vifaa vya ume me kama bulb na Switch nk. Pia mabelo yamtumba yanapati Kana. Mwenye taarifa anijuze.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni miongoni mwa biashara zinazolipa hapa mjini nimewahi ulizia wengi hawatoi taarifa ila mmoja aliwahi niambia pale Tegeta zile wanazouza elfu ishirini(20000) hujumua kwa elfu kumi na mbili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
?Education is incredibly important for traders. Traders should look to educate themselves as much as they can along their trading journey.? ? James Hughes In USA, Thanksgiving Day is around the...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Tanzania in recent years has witnessed a huge influx of foreigners and being amongst the leading recipients for foreign direct investments, this demonstrate the success of the government?s...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nikiwa nami,napeleka malalamiko yangu,mara nikamuona kaka,akiwa mstari wa mbele,pale vodacom kitengo cha BULK-IMT(international Money Transfer),kivumbi kilianza pale ambapo mlinzi hakumruhusu yeye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa anayefahamu madini aina ya Silcon, pamoja na marketing yake ndani na nje nina kilogram zaidi ya 10 au anitwangie hapa 0716 7 6 640
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Amani kwenu wadau wa biashara. Ndugu zangu huko kijijini wamefanikiwa kuchimba madini ya ruby kwa walivyo niambia, yanakadiriwa kufikia robo tatu ya KG. Ila hawajui wapi wayauze na pia hawana...
0 Reactions
46 Replies
18K Views
Here?s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish EURUSD did not make any serious directional movement last week, for what was seen was slow short-term movements to the...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
hhysdfhbxJdgfhhbcsgkvxcdvjddvfhvvh
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Habari zenu ndugu zangu. Naomba mnisaidie nijue gharama na process nzima ya kutoa bandarini container lenye furniture ambazo sio za biashara. Najua kutoa gari bandarini ni mtihani ila je...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Hapakazi tena kazi kweli kweli. Kila la heri JPM against all odds. More a marathon than a sprint | The Economist
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TRA kwenye calculation tool yao tayari wameweka thamani ya magari na kukokotoa kodi kutumia thamani yao wakitumia mwaka wa gari, CC na aina ya gari tu. Je, hii ni sahihi? na kama thamani halisi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari zenu watanzania wenzangu. Swali langu nilikuwa nataka kuuliza kwamba nimeachiwa kampuni na wazazi wangu ila kutokana na kwenye bank hakuna fedha za kutosha kuimarisha kampuni isimame kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bagamoyo au Kigamboni eneo gani ungependa kumiliki kiwanja? Viwanja vyote vipo karibu na bahari na vinauzwa. Kwa maelezo zaidi tembelea; DarProperty: East Africa's Ultimate Property Guide
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tafadhali wadau wakala wa usajili wa biashara (Brela) wameanzisha mfumo wa usajili wa majina ya baishara kwa njia ya mtandao. Ila ni muda sasa mtandao huo unasumbua na haufanyi kazi. Na ukienda...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu, ningependa kufahamu ikiwa unanunua gari lililokwisha sajiliwa kwa jina la mtu mwingine ni utaratibu gani wa kufuata kuweza kubadili jina la umiliki pamoja na gharama endapo...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nacho kiongea nina experience nacho kwa muda mrefu nimekuwa niki kifanya kwa kushilikiana na team,na nimeona mafanikio yake sasa kwa kuwa wateja wanazidi kuongezeka naomba ajitokeze mwekezaji...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ndugu zangu, biashara ni mawasiliano. Maisha ni kujifunza na mafanikio ni ushirikiano sahihi. Ninaomba kufahamu, kutoka kwa mtu yeyote mwenye taarifa za bidhaa ambazo zinazalishwa na viwanda...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
  • Closed
Kila siku nasikia uuzaj na ununuzi wa hisa, 1. Naomba kuelimishwa maana ya hisa, 2. Unapataje faida unaponunua na kuuza hisa? 3. Nina kamtaj ka million 5 ninaweza kukawekeza kwenye hisa...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
Naomba kuonyeshwa ramani, mie nafanya biashara ya duka la vipodozi Tanzania na Msumbij, nimeamua kufungua duka la vifaa vya simu kwa jumla Msumbiji. Mfano kava, chaji za simu na laptop kwa ufupi...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Back
Top Bottom