Usafiri unaotumiwa na kampuni hii ya Mohamed enterprises kusambaza bidhaa zake hasa kwa hapa Dar ni Matrekta, Caterpillar, Lister Peter, au ni mashine za kusaga?
Kufa kwa biashara nyingi ndogo ndogo na za kati
MOJA YA SABABU ZA BIASHARA NYINGI KUFA NI HIZI
a. Mtaji Mdogo
Hili ni Tatizo kubwa kwa watu wengi sana, nasi hapa bongo pekee, bali ni nchi...
Salam kwenu wana JF. Natamani kufanya biashara inayohusiana na mitandao..mfano Uwakala wa Fahari huduma...Equity bank...Mpesa... Tigo pesa nk...nsaidieni wakuu. Kuna mfadhili anataka kunisaidia...
Habari za kazi wakuu
Nitumie Umeme wa Solar au wa Jenereta??
Samahanini naomba ushauri juu ya mada tajwa hapo juu ;
Kama ni SOLAR;
Vipi gharama yake ipoje hadi ufungaji wake
NB; Nahitaji kwa...
Habari za leo mpenzi msomaji wa AMKA MTANZANIA, ni matumaini yangu kwamba unaendelea vizuri na harakati zako za kuboresha maisha yako. Kazi yetu sisi ni kuwa pamoja na wewe kwenye safari hii...
Africa creates TFTA - Cape to Cairo Free-Trade zone
African leaders have agreed to create the continent's largest free-trade zone, covering 26 countries in an area from Cape Town to Cairo.
The...
Katika makala nyingi ambazo nimekuwa naandika za kushauri watu kuingia kwenye biashara nimekuwa nikitaja biashara ya mtandao (network marketing) kama njia moja wapo ya mtu kuanza biashara kwa...
Habari wakuu,
Poleni na majukumu.nilikuwa naomba msaa juu ya hii biashara ya kuwa wakala wa maximalipo.sijawahi fanya hii biashara.nataka niiweke dukani kwangu iwe kama kipato cha ziada.
Na je ni...
Habari wana JF,
Kuna thread moja nilisoma kuhusu kununua mizigo kutoka China kupitia website ya alibaba. Nahisi iliwekwa na ndugu mwasalemba kama sija kosea. Nimeicheki sana hii website kwa siku...
Jamani mwenye kujua maana ya hivi vitu na jinsi/wakati gani vinakuwa applicable na kipi kinaanza na kufuatia anijulishe:
Petty Cash book/Voucher
Cash Sale
Proforma Invoice
Receipt
na nyingine...
Kufuatia kesi iliyofunguliwa dhidi ya mwenyekiti wa wafanyabishara tz(JWT) jumuia ya wafanyabiashara tz bw. Johnson minja ambayo inatarajia kusikilizwa siku tatu mfulizo, na utaratibu wa...
Nina mpango wa kupeleka matangazo ya Biashara sehemu tatu (3); Radioni, kwenye Luninga (Tv) na kwenye mitandao ya kijamii ya hapa hapa nyumbani (blogs) kama JF.
Sasa Je, kama ni Radio...
Heavenly Father, I Come before you today to ask for a financial blessing to improve my life. My faith keeps me strong, and I know you will provide for me and the people I love.
I do not seek a...
Wewe kama great thinker, naomba leo tujadili swala la vyanzo vya mapato ambavyo serikali yetu aidha imevisahau au haijui kama vinaweza kuza Pato la Taifa, naomba uorodheshe vyanzo vya mapato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.