Wadau,
Je, Wewe ni mfanyabiashara? na je Biashara yako imesajiliwa? na Jeu na nia ama mawazo ya kujitanua zaidi kibiashara? na je, una tenda mpya on the way na unahitaji kua funded ili...
Hivi hii kamari haina athari kweli kwa uchumi wa vijana japo kuna wachache ambao wanafaidika?
Vijiwe vya betting mitaani sasa ni kila kona na vinazidi kuongezeka.Je,huu tunaweza kuuita ni...
wadau niko mozambique nina kiproject kimoja cha kiwanda cha unga ambacho nilikianzisha miaka yapata miwili hivi lakini mwaka jana kutokana na kubanwa na majukumu ya kifamilia mtu niliyemwachia...
Mnisaidie bei elekezi naenda nalo sokoni ,Jiwe hili lina uzito wa gram 58 ni nimelipata kwenye kamgodi kangu ni non synthetic liko very transparent japo ndani linakama muonekano wa nyota ndogo...
hivi ni nani mwenye jukumu la kufuatilia ili kuhakikisha michango ya NSSF inaingia?
1, mm mwanachama? au
2, nssf wenyewe
maana utakuta mwajiri hajaingizaichango zaidi ya mwaka na ukiuliza nssf...
Wapendwa,
Nimejaribu kupita sehemu nyingi hapa Dar ili nipate thamani za ofisi ready made ambazo zimetengenezwa kwa mbao za hapa nyumbani, Mninga, Mvule, Mkongo nk.
Sijaona sehemu ambayo kuna...
Habari wana JF,
Mimi ni mwajiriwa katika airline moja hapa Tz, naomba msaada wa kuzifahamu kampuni zitakazo weza kunipatia gari wabaki na original card ya gari then tuingie mkataba wa kuwalipa...
Habari wana jamvi,
Naomba tubadilishane mawazo kwenye hili, mara nyingi kumekuwa na biashara au fursa nyingi zenye kuhitaji nishati ya umeme na hivyo kupelekea kupata faida ndogo kutokana na...
je wakuu ni biashara gani mtu unaweza ukafanya hapa bongo ya mtaji wa wastani ikawa inakuingizia kitu kiasi...mimi ni kijana niko kwenye mipango ya kutafuta ni biashara gani nzuri ya kuanza nayo
PAVE Investments Limited ni kampuni inayotoa huduma ya Environmental Impact Assessment/Audit (EIA) na imesajiliwa na NEMC kama Environmental Expert Firm. Tunakaribisha wateja kupata huduma yetu
Ccm habari hii iwakae sana akilini,na mkae mkijua ya kwamba suala la kuitoa gesi mtwara na kuihamishia sehemu zingne kutaathiri moja kwa moja maendeleo ya mkoa huo,,
kuna mpango ushaandaliwa wa...
Ukiwa katika hifadhi hiyo utafurahia mandhari mbalimbali za mlima Kilimanjaro.
IDADI ya watalii wanaotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) imeongezeka kutoka 37,000 hadi...
Biashara mpya zimekuwa na mambo mengi sana. Kuna biashara ambazo huwa zinaanza kwa wateja wachache sana na kuna nyingine zinaanza na wateja wengi sana. Biashara zinazoanza na wateja wachache...
Habari wana JF,
Naomba msaada kujua taratibu ninazo takiwa kufanya ili niweze kuagiza mzigo wa matairi ya gari kutoka China. Zipo kampuni kama mbili ambazo nawasiliana nazo. Hapa nataka kujua...
Radio One taarifa ya habari -- WaTanzania wenye uwezo na wafanyabiashara wameshauriwa kuanzisha viwanda badala ya kuwa wachuuzi..
Nashangaa wafanyabiashara wakubwa Tanzania wanaenda China kubeba...
Hi Wadau, eti ni kiwanda gani wanaprocess pamba na kuzipack kwa wingi ready for use...mfano labda haya mahospitali makubwa yananunua wapi pamba zikiwa nyingi yaani mfano kilo mia na kuendelea...