hello...
Jana nimefungua profile yngu nikakuta **You are not selected click here to see the reasons **
sasa kila Niki click here nakuta kuna zile course nilizochagua wameziweka halaf wameandika...
Naweza badilisha kozi niliyoomba NACTE ambapo nmeteuliwa ila bahati mbaya sikuwahi kuripoti chuo kutokana na matatizo?
Je nikifanya maombi upya kwa kozi tofauti na mwanzo nitakubaliwa?
Wadau hivi hata kama umeanz certficate ukusom na diploma na ile GPA 3.5 ukawa uliipata kwa diploma kwa coz ya kilimo n mifugo kwa ufaulu huu ] O LEVEL 2013-GEO D KISW B CIV D HIST E...
Msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu kapata div 3 ya 15 sasa kwa qualification za sasa kakosa nafasi ya kufanya Degree. Mshaurini njia ya kufanya maana naona NACTE washafunga usaili.
1. Ordinary Diploma in school inspection na
2. Ordinary diploma in Education management and Administration
Kazi zao ni zipi? na je degree zake zipo hasa Degree ya 'school inspection'
Habari wana jf
Nilkuwa naulizia kuhusu hii kozi ya bcs in chemistry ikoje katika nyanja hizi:
1;kwanza anaesoma hii kozi anahisika na nni?
2;pili huyu mtu yye akitoka kumaliza kozi yake anaweza...
Duh mi ni raia tu naish maeneo ya karibu na hvi vyuo, co vyuoni na mi c mwana chuo.
Tatizo hawa wanaojita wanachuo wanamajigambo na maonesho ya kitoto wawapo nje ya vyuo vyao, jambo ambalo...
naombeni msaada,wale form six mwaka jana 2015 wanaruhusiwa apply tcu kwa minimum c mbili , na c kwao inaanza 40-49 sawa na E ya mwaka huu. apo wadaku na mastelingi wa grades haki ipo...
habari zenuu wakuu.. Mimi ni kijana ambaye nimehtmu form six mwaka huu na nmefnkiwa kupata one ya Tisa kwa masomo ya PCM.. tatizoo languu lipoo kwenye hizo kozi ipiii nifnye ndo first priority...
Zoezi la kuainisha wafanyakazi vihiyo ni zuri lakini liwahusu wafanyakazi wote. Tatizo la hili zoezi ni kuwa wafanyakazi wenye elimu hadi shahada moja ndio wanaotafutwa.
Wako madaktari wa elimu...
Kuna kozi ya moja kwa moja kusomea uanakemia? Vipi kuhusu vigezo vya kusoma kozi hio? Ni vyuo gani vinahusika? Na vipi kuhusu ajira zake? Na kwa nini siisikii kozi hii na hali wanakemia wapo...
Huu uzi ni kwa ajili ya kupeana mawili matatu kuhusiana na elimu inayotolewa hapa nchini inamjenga vipi kijana kupambana na changamoto zilizopo mbele yake hususani swala la ufanisi katika utendaji...
AFC ( Accountant Financial Consultants )
We are registered by NBAA (National Board of Accountant and Auditors, and we are known as the best tuition provider with 8 years experience.
CPA Review...
Ndugu habari!
Ninaomba mwenye kujua kuhusu kusoma/kusomea/kutafuta cheti cha CPA kwa mtu ambaye undergraduate hakusoma masomo ya biashara inakuwaje? Yaani process/ngazi zilizopo na gharama yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.