Ni dhahiri sasa serikali inapitia wakati Mgumu, bodi ya mikopo wamekiri kuwa hadi sasa hakuna pesa za mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa vyuo.
Lakini pia kuna taasisi kadhaa nchini hasa zile...
Totally bored, application inaelekea kunishinda.
Nilifanya application mara ya kwanza lkn sikufanikiwa, sasa nilitaka kulog in inatakiwa username na password.
Password nmeisahau na ilitumwa km...
Wakuu kuna chuo kimoja cha serikali kinatoa hii kozi kwa level ya diploma, je hii kozi imekaaje maana ni ngeni masikion mwangu? na je kunachuo kinachotoa degree yake? na vip kuhusu ajira zake...
Habari za asubuhi wana jamiiforum mimi ni kijana niliyehitimu form six mwaka 2016 namshukuru mungu nmepata division 2 ya point 10.Ila mimi O level nilisoma shule ya private na pia A level ni...
Ndugu wana jf naomba kuelekezwa katika hili .
Kuna mdogo wangu amefanya aplication Nacte ila ameomba kwenye vyuo vya ualimu sasa alitaka kuhama huko na kufanya aplication kwenye vyuo vya Afya sasa...
Wakubwa naandika kwa uchungu na hisia toka moyoni mwangu, ikumbukwe mnamo mwaka 2013 waziri wa nishati na madini alianzisha ile inayoitwa "the marshal plan" lengo la huu mpango mkakati ilikuwa ni...
kama uzi unavyosema kuna kitu kimoja sikielewi ukishaomba programs zako kama ujaprint inamaana taarifa zako na kozi ulizoomba kure awazioni inakuwa kazi bure au nikwamba atakama ujaprint taarifa...
kama uzi unavyosema kuna kitu kimoja sikielewi ukishaomba programs zako kama ujaprint inamaana taarifa zako na kozi ulizoomba kure awazioni inakuwa kazi bure au nikwamba atakama ujaprint taarifa...
wale waliokwisha kua ply kupitia nacte, naomba msaada jinsi ya kuweza kubadili machaguo yangu niliyoyaweka katika kozi za vyuo vya afya, kwani nikienda kwenye kufuta machaguo kuna Maelezo ambayo...
hivi wanajf..katika hivi vyuo kati ya ardhi na sua...ni course gan ambazo unazikubali sana...hpo kati ya hizi hapa na kuhusu hasa soko la ajira bongo....kati ya hizi ARDHI- bcs of land management...
Dogo wangu nimemfanyia application nacte, kwa ajil ya certificate, so ni mda GANI unachukuwa mpaka kupangiwa chuo kama itakuwa amepata? Plz help me anaejuwa
Naomba msaada wanajamvi mawasiliano na TCU kwani kwenye namba zao ni moja tu inapatikana ambayo ni +255683921928 na hii iko zaidi ya busy ataukiipiga usiku iko busy au ikiita haipokelewi...
Wanajukwaa naomba ushauri wenu,
Naomba kuuliza iwapo kwenye cheti changu jina la kati lilikosewa kule NECTA je naweza kuwa majipu anaowasaka Ndalichako?
abari zenu wana jf ninaitaji msaada wa ushauri kati ya izi kozi
_Bachelor degree in procurement and logistics management
vs
_Bacherol degree in human resources management
yepi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.