Kati ya course hizo mbili sielewi tofauti yake nime ona SUA wanatoa lab technology miaka 2. JE ina tofauti kwenye kazi na hizi course za maabara kwa upande wa afya. Upande wa ajira? Ipi ni bora...
Bodi ya mikopo ilisema field practical isogezwe mbele kwa wiki mbili kuanzia tarehe 25.07.2016 na wanufaika wataingiziwa pesa hizo wakiwa nyumbani ili ziwawezeshe kwenda field.
La kushangaza...
Baada ya kuulizana mara nyingi, leo wameissue call for application ambayo kipengele No. 4 kina hiyo deadline.
4.0 Deadline for applications The deadline for applications for all applicants who...
Naomba kufahamishwa kwa fom6 yeyote aliemaliza 2016 na ameshachukua result slip yake, Je ukipata daraja E unaandikiwaje? principal pass, pass, satisfactor au unsatisfactor. Tafadhari kwa fom6 wa...
Habari wadau niomba mnisaidie kuna mdogo angu amepangiwa chuo cha KCMC school of nursing.
Email aliyotumia wakat wa kuaply haifanyi kazi.
Naomba mnisaidie kwa yeyote alie karibu na chuo hicho...
Fursa Ufadhili Masomo (Masters degree) Uingereza kupitia scholarship ya "Chevening"
Scholarship za Chevening jana Agosti 8 zimefungua kupokea maombi kwa mwaka ujao wa masomo 2017/18.
Kwa wale...
Wasaalamu! Ni kweli na hakuna kipingamizi kuwa Elimu kwa sasa ndio mkombozi wa Maisha kwa Watanzania tulio wengi! Bila kujari ni Level Gani ya Elimu lakini pale mtu atakapo jua kusoma na Kuandika...
Hello wana JF mliotukuka ...mimi nina shida moja
Nataka nilipie mitihani ya CPA(T) nina mpango wa kufanya mitatu sasa sijapanga kusoma tuition yoyote ile(nataka nipige msuli wa peke yangu) lakini...
TULIOCHAGULIWA CHUO HIKI TUKUTANE HAPA KWA COURSE YA CERTIFICATE IN ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION JE?VIPI KUHUSU AJIRA ZAKE?BAADA YA KUHITIMU VIPI KUHUSU MAZINGIRA YA CHUO??VIPI KUHUSU UFADHILI WA...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU
KUONGEZWA KWA MUDA WA
KUFANYA MAOMBI KATIKA KOZI ZA
CHETI NA DIPLOMA KWA MWAKA
WA MASOMO 2016/2017
Date Posted: 8th August 2016
14:46:59 Posted By: NACTE
Baraza linapenda...
Habarini wakuu na hitaji kujuzwa kuhusu chuo cha st fransic university kuhusu sifa za chuo , na mazingira ya ifakara maana nimechaguliwa kujiunga huko baada ya kukosa vyuo vya serikali kukuta...
*TAARIFA KWA WANAFUNZI WOTE WA ELIMU YA JUU NCHI NZIMA WANAOHUSIKA NA FEDHA ZA MAFUNZO KWA VITENDO (FIELD).*
*TAHLISO* imekuwa mstari wa mbele sana katika kuhakikisha fedha hizo zinalipwa...
Wakuu heshima zenu,
Leo nimeamua niingie kivingine kabisa. Kwanza mkumbuke mimi ni mbunge mtarajiwa wa jimbo mojawapo la mkoa mmojawapo wa kanda ya kaskazini.
Hebu tuachane na mambo ya ubunge...
Kwanza kabisa nimpongeze waziri wa elimu kazi yake nzuri anayoifanya katika sekta yaelimu.....
Siwezi kusema moja kwa moja ni kwauzuri gani kwasasa kwakuwa wizara hii ni kama kivuli amakitengo...
Habari wandugu , ninapenda sana philosophy na nataka kuapply hiyo degree pale chuo cha mwalimu nyerere ila ngependa kupata info japo kidogo kuhusu hiyo coarse kwa anayefaham baada yakuhitimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.