Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
jaman wana jf naomba kujua fee stcture,mazngra,academic status,admission criteria,ya chuo cha kairuki kwa upande wa m.d..
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Come with questions about economics,accounts,and commerce.You will get clear answers and their application(s) in different life scopes not just for passing your final exams
1 Reactions
2 Replies
726 Views
kuna jamaa kanitonya hii kitu..... kuna tetesi za kutengezwa kwa Central Employment System kwa kifupi CES ambapo walimu na watumishi wa sector zingine za afya,maji etc watatakiwa kuomba kazi...
9 Reactions
31 Replies
4K Views
Mimi napata shida kuhusu NACTE, tulifanya maombi ya degree mapema kupitia NACTE kabla hata TCU lakini ilikuwa ukiingia kule kwenye systeam yao Vyuo ilikuwa ni kidogo walivyoeka hasa kuhusu course...
0 Reactions
1 Replies
898 Views
TCU hapo Mwanzo Walisema Kuwa Watafungua Milango Ya Kupokea Maombi Ya Wale Diploma Holders Siku Ya Tarehe 31/07/2016, Lakini Cha Ajabu Leo Wametupiga kalenda Nyengine Kwa Kutangaza Rasmi Kuwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hv Wakisema Hv Wanakuwa Na Maana Gani Kwa anaejua Naomba Msaada "Two principal passes in any subjects. If one of the passes is not in Mathematics a Subsidiary or Pass in Mathematics at “O” level...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi chuo cha St Joseph ni kizur kwa MD ?? Na wanatumia hospital gani kufanyiwa practicals?? Na walimu wao ni wazur?? Naomba msaada kwa anayekijua vizur
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa anaefahamu ile scholarship ya Algeria kwenye website ya TCU naomba kufaham ile course ya english language unaenda kusoma nini celew unaenda kusoma english kivipi au unaenda kusoma english...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomben kwa wenye uelewa wanisaidie kunipa majibu ni ipi course yenye soko La kujiajiri au kuajiriwa pia kati ya hizo NB: zinatolewa Unique Academy Dar Es salaam kwa degree level
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ningependa kupendekeza elimu yetu iwe yenye kuwaruhusu wanafunzi kujisomea wenyewe,kuchunguza topic,kuja na findings na kuweka hitimisho wenyewe..... Sio mfumo wa sasa ,ambao unatu spoon feed...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau? Nmeona wengi wakilalamikia vigezo vipya vya TCU kuwa vimewazuia wengi kwenda university. Me nawashauri msikate tamaa hata kidogo! Jambo jema na la msingi kwa sasa ni kwanza tafuta...
3 Reactions
34 Replies
7K Views
Lengo la makala haya, ni mwandishi kujaribu kuunga mkono baadhi ya watanzania ambao wamejaribu kupigia kelele ufundishaji wa falsafa katika mfumo wetu wa elimu. Kwa hiyo ni mapaendekezo ya kutaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vp wana jf Ninaomba yeyote yule mwenye uwezo wa kunipatia maswal ya language one na two advanced level ya necta examination anisaidie au anipe maelekezo nitapataaje?? Please nisaidieni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
SERIKALI imetangaza mwongozo mpya kuwa kuanzia sasa masomo ya sayansi ni lazima kusomwa na wanafunzi wote wanaosoma elimu ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Kwa mujibu wa Sera ya...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Jamaa akirudi au mzungu kutoka Ulaya na degree yake aidha ya kwanza (Bachelor), ya pili (Master's), au ya tatu (Doctorate) ni wa kuangalia kwa makini kwani huko nako watu wanaandikiwa dissertation...
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Masikini wale wa Diploma wamesahauliwa kikweli kweli kwa sasa!! Hawana GuideBook! Hawana Tamko! Hawana Wa Kuwatetea!! NACTE wametemwa! TCU haiwatazami! Ndalichako Kawasahau!!. Haya Form 6 kila la...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
http://www.tcu.go.tz/images/documents/Public_Notice_Elligible_Candidates_for_RPL.pdf
0 Reactions
1 Replies
812 Views
1.ondoa GPA 2.ondoa BRN 3.ondoa DV.5 4.asiye fikisha 3.0 ACSEE no degree 5.ondoa mtaala wa 2008 6. Diploma kwa watakao pata below 3.0 ACSEE
0 Reactions
33 Replies
9K Views
Naombeni Msaada wadau wa jukwaa la elimu kuhusiana na hyo faculty iko poa hasa kwenye soko la ajira hata katka kujiajiri mwenyewe.maana nimeiweka katika priorities zangu nilizo chagua.lakini...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Jaman naomba kuuliza hivi foundation course wanazopewa watu wenye d,NNE 0 level watajiunga kweli na diploma ya ualimu shule za msingi
0 Reactions
1 Replies
491 Views
Back
Top Bottom