Habari wanajamvi mm nimiongoni mwa wanafunzi niliochaguliwa kwenda msumbiji lakin kwa bahati mbaya serikali ilizuia program hii, nakuahid kwamba wanafunzi watapangiwa vyuo hapa hapa nyumbani...
Habari wana jf natanguliza shukuran za dhat kwenu naomben anaefahamu juu ya chuo cha cbe dar es salamu joing instruction muda wa kuanza kusoma na ada yake inakuwa minimum kias gan kwa mwaka huu...
Wana jamvi habari zenu. Naomba kufahamu kwa mwenye ujuzi juu ya kozi hii mbali na masuala ya library ni kitu gani pia unaweza faidika nacho kama utasomea hii kozi?
Bachelor of Arts in Library and...
Please please, jambo hili linanitatiza, hebu nipeni ufafanuzi.
Nilirisiti masomo 7 mwaka 2015 na matokeo Bio-B, Phy-C, Chem-B, math-B, Geo-C, Kisw- C, Islam B. English sikufanya na hapo mwanzo...
Kwa wahitimu wa form six napenda kuwajulisha pia wakati mnachagua degree program pia kuna program kama za bachelor's of science in. Chemistry, biology, physics, mathematics and statistics.
Watu...
Mm Ni Mhitimu Kidato Cha 6..Nimeapply Chuo Na Nimeshaprint Tyr Ila nikifungua Account Yng Naletewa Ujumbe Huo Kama Unavyoonekana Kwenye Picha.Je Ndivyo Inatakuwa Kuwa hivyo Au hapo bado...
Wadau kuna dogo form 6 kafukuzwa shule kisa kaextend likizo kwa 1 month. Kama kuna mtu anaweza kujua procedure za kufuata ili dogo arudi shule hata private kwa sababu pale wamegoma kumrudisha...
Jaribu kufanya reasech ya kuanzia mwaka 2012-2016 elimu hii hii inayotolewa nchini utagundua ni ya ubabaishaji,kwa mfano tazama kwa mtu aliyepata division 3 ya mwaka 2012-2015 hao wote wameenda...
NACTE nimewatafuta but hawajarespond chochote. Nina kosa ndio, mimi ni form IV leaver nimeapply kwa awamu ya pili vyuo vitatu vya technology, ngazi ya diploma lakini nikaja kugundua kuwa guide...
Wakuu naomben msaada wenu juu ya vyuo gan naweza kwenda baada ya mipango yangu ya kwenda advance kutoielewa, nimemalza 4 last year with DIV 3 of 24 bt ckubalance comb
Please please, jambo hili
linanitatiza, hebu nipeni
ufafanuzi.
Nilirisiti masomo 7
mwaka 2015 na matokeo
Bio-B, Phy-C, Chem-B,
math-B, Geo-C, Kisw- C,
Islam B. English sikufanya
na hapo mwanzo...
Nimelipia NACTE tokea tarehe 31/07/2016 hadi sasa hawajanitumia USERNAME na PASSWORD
Nimewapigia namba zao Nyingi Hawapatikani na nyinginezo ni bize sikuzote hizi nne muda wote......Nifanyeje?
NACTE yaamua kufuta uteuzi wa wanafunzi ambao waliokuwa tayari wameshachaguliwa kujiunga na vyuo ni wale wa second selection yaanza upya tena haiwahusu first selection
Hii elimu yetu sijui...
Habari,
Naomba nifikishe ujumbe huu kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Mjaliwa na Waziri wa Elimu wa Tanzania Mh. Profesa Joyce Ndalichako, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ni jipu kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.