Aisee TCU bora mngeturudisha NACTE tuapply huko. Au kama mnashusha GPA mtuambie kwahilo tutasubiri tuu maana hamna namna nyingine. mpaka leo tarehe nne hamna guide book ya equivalent wala...
Mtihani wa kumaliza elimi ya Msingi yataanza rasmi JUMA TANO - 07.09.2016 na kumalizika ALHAMISI - 08.09.2016.
Hivyo neema ya Mungu iwe pamoja nanyi mnapofanya maandalizi ya dakika za mwisho...
Habari ndugu Watanzania!
Mimi ni kijana Nina umri Wa miaka 25 nimemalza degree business administration BBA(accounting major) lakn advance nilisoma PCM na katika somo nilipendalo hesabu nilifanya...
nacte unatumia mfumo gan wa kuchagua wanafunzi wa kujiunga na diploma coz unakuta kama sasa HV wameshaanza kuchagua halaf mweny div 2 anaachwa lkn mwny div3 anachukuliwa na ukiangalia wanasema...
Samahani Wana jf naomba mnisaidie ktu kimoja. Mimi nimemaliza foundation course mwez wa sita open university mwaka huu.
Je TCU watanikubalia kuchukua degree?
Habari zenu humu ndani naombeni kuuliza nikiingia kwenye website ya TCU nikitaka kuuapply for degree inadai the system is closed and will be opened on 31st July 2016.
Sasa cha kushangaza mpaka...
Hello Guys! Here is Study abroad Opportunity:
The Gates Cambridge Scholarship programme was established in October 2000 by a donation of US$210m from the Bill and Melinda Gates Foundation to the...
Wakuu nko na rafika yangu amefanya application NACTE jumamosi. Yani sasa hvi amenipigia simu kanambia kua alijaza CERTIFICATES badala ya DIPLOMA na deadline ya kuapply ni leo usiku... Tusaidiane...
Ana vyeti 2 vya form iv, manake alirudia bahadhi ya masomo ili kupata credits. Kwa sasa akitaka kulipia ile 50000 ya tcu anatumia namba ipi tafadhali. Napiga simu sana tcu ila iko bize saaana.
NACTE wamebabaisha kweli kwa sababu wameshindwa kuweka hata takwimu ya walioapply idadi yao na walioachwa idadi yao na waliochaguliwa pia wametumia sifa gani kuwachagua.
Hii nchi imepoteza...
Naomba kujua wenzangu waliopangiwa Chuo cha kcmc koz ya community health,Chuo kinafunguliwa tarehe ngapi ,nitawezaje kupata form ya Chuo nisaidien waungwana
Nilikuwa nataka kukijua vizuri hiki chuo cha Institute of Tax Management ndugu zangu
Ni moja ya chuo nilichoomba tcu
Course hii Barcheol degree in customs and tax management
Na je ni course...
Nimeona tangazo la NACTE la leo tarehe 29 July linalowaomba walioomba vyuo vya ualimu vya serikali wasifute machaguo yao wasubiri utaratibu utakaotolewa hapo baadaye. Wengine tayari wameshafuta na...
Naomba msaada kwa anaefahamu anieleze jinsi ya kuitambua course nlioomba tcu ( degree) niangalie wap nijue idad ya waombaj wa course hiyo mana naona pana priority 1 priority 2 to priority 5 kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.