Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
diploma ya medicine ipogo tanzania?
1 Reactions
2 Replies
686 Views
Jamani embu nielezeni kipi kinafuata kwa sisi tuliomaliza fom six na tukafaulu na tusha apply vyuo. Nini kinafuata hapo mbele? Na ni kwa muda gani? Tusaidiane jamani!
0 Reactions
80 Replies
7K Views
Web ya TCU imeonyesha waziwazi kuwa application deadline kwa Form Six ni 31st August, 2016. Equivalents bado hakisomeki!
2 Reactions
14 Replies
2K Views
D inaanzia 50-59, E 41-49, hiyo D ni B mwaka jana na hiyo E ni C mwaka jana halafu mtu amesoma kombi complicated PCB, PCM au PGM at the end of the day hamna chuo tena taarifa inakuja baada ya...
6 Reactions
34 Replies
4K Views
Msaada jamani, tunaomba mwenyewe taarifa kamili za uhamisho wa watumishi wa umma June 2016, vibali vinatoka lini ndugu zangu? Msaada tafadhali
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Hbr ndugu zangu wana_JF, Naomba kuifahamu hii kozi ya educational technology inahusiana na nini na ukisoma unaweza kuwa nani na kufanya kazi gani?, Kwa yeyote anayeifaham naomb jaman please...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi naombeni msaada, Nipo nalipia NACTE kupitia M-pesa ila nikifika sehemu moja inaniambia niingize namba ya akaunti. Hapo mbona sielewi? Hiyo namba ya akaunt ni ipi? Msaada please...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Jaman kat ya mechanical na biomedical equipement engineering ip n kozi nzuriiiiiii wana jamv nisaidien
0 Reactions
64 Replies
8K Views
Habari! Wana jamvi, Kwa wale wanaotegemea kuomba shahada ya kwanza(degree) kutokea diploma kwa kozi mbalimbali hapo kesho dirisha linapo funguliwa kupitia TCU tukutane hapa wakuu kupeana taarifa...
4 Reactions
106 Replies
13K Views
Habari za muda huu wana jukwaa kuna kitu kinanitatiza kidogo katika application za NACTE especily upande wa education awali mfumo ulipo funguliwa kwa walioaply upande wa education ulikuwa ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ilo ni bweni mojawapo la kidato cha tano hapo kibaha boys. Kwanza nipende kuwapa pongezi sana kwa kuchaguliwa special school.Cha msingi mkifika hapo shule ni kuanza kusoma kwa bidii(msuli) kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Baada ya serikali kusogeza wiki 2 mbele za kuanza field, ratiba yangu inaonesha jumatatu tarehe 8/8/2016 natakiwa nianze field . Lakini maajabu mpaka sasa hivi nipo nyumbani, sijakata hata tiketi...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni imani yangu kuwa mko salama wakuu. Ni kwamba nina mdogo wangu anasoma masomo ya Chemostry, Biology na Agriculture (CBA) katika shule moja ya serikali. Nahitaji ahamie kwenye private school...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Nimsaidiaje huyu dada? Hakuchaguliwa mara ya kwanza ila sasa anataka abadilishe course ya kusomea. Hajui asome nini na alisoma Arts O-level matokeo 4 ya 28 halafu leo mwisho.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukijisajili utachagua masomo matano kama ya form six utasoma masomo hayo mwaka mmoja. Ukipata average ya 50% kila somo atajiunga na degree direct baada ya kumaliza mwaka mmoja. Lakini lazima uwe...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Msaada, Nataka kuomba textile engineering UDSM au niombe engineering ipi ambayo sitasota mtaani baada ya kumaliza chuo?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada kwa anaekijua chuo cha ualimu Sumbawanga details zake kwa ngaz ya chet
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Halafu na Bachelor of Land management ya Ardhi. ipi iko sokoni wana jamvi?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu tena hongereni kwa kuchaguliwa vikindu teaching college nimeamu kuanzisha hii thread ili tufahamiane na kupeana ushauri.. Karibu..
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Jambo Tanzania! Hivi mtu aliyesoma degree ya kwanza (Bachelor of Education Mathematics) yaani haina "in" na "with" anaweza kusoma degree ya pili (Masters of science in Mathematics) bila ya kusoma...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom