Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kumekuwa na wimbi kubwa la kuporomoka kwa maadili ya watoto walioko mashuleni, kiasi kwamba sasa si jambo la ajabu kusikia mtoto wa kike ana ujauzito au mtoto wa kiume ana mpenzi. Hali hii...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nawasalimu ndugu zangu.kumekua na matamko mbalimbali juu ya swala la ajira hatimaye raisi akafunga milango mwezi na nusu umeisha ivo..." Haitazidi miezi miwili" lakini mara issue ya vyeti feki...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
NACTE WABABAISHAJI NA VYUO WALIOCHAGULIWA WATU HASA VYA SERIKALI NI MAJIPU MFANO.VYUO VYOTE VYA LITI,AFYA ,UALIMU NK KUNA MDOGO WANGU AMECHAGULIWA CHUO CHA MIFUGO LITI MOROGORO MPAKA SASA HIVI...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavosomeka kuna course zile za non priority baadhi ya course wameandika non priority lakini possible loan amount wameeka kiasi lakini nyingine kwenye possible loan amount...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Mambo....Hello..Hi Is an Advanced Diploma the same as a Bachelor's degree in Tanzania? What are the similarities/differences in exit options? Anything else one should think about if one doesn't...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu , comment kozi yoyote ya engineering unayoikubali sana. Mimi ni Civil Engineering. Nawasilisha
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Nini kitatokea mwanafunzi mwenye point chini inayotakiwa na bodi akaomba chuo kupitia TCU????
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, tafadhali kwa anayejua chuo cha kilimo Igurusi Mbeya amjuze mdogo wetu amechaguliwa huko. Vipi kuna neema au chenga wakuu wanaokijua?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Watu wengi wanawalaumu nacte kuwa mbona safari hii hawaeleweki juu ya nafasi za vyuo vya serikali, ni kwamba kumbuka vyuo vya serikali vimejaa vyote, na hii inatokana na kiwa wanafunzi wa dodoma...
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Wakuu naombeni msaada wenu, nimemaliza kufanya selection kwa maana nimeshajaza vyuo 5 as maximum sasa nataka kujua kama ukimaliza kuna kuconfirm au kusubmit au ukimaliza unaacha vile...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau kichwa kinaniuma kuhusu DIPLOMA holders NACTE PAGE yao ipo kimya kuhusu dipl kwenda degree,TCU wapo kimya Walitoa ukurasa kuwa 31 Aug 2016 Tcu Cas itakua imefunguka ila mpaka sasa hata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kujua zaidi kuhusiana na course tajwa hapo juu ngazi ya diploma ajira zake na umuhimu katika hiyo taaruma na kingine hivi hii course ina mda gani.
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Elimu ya Tanzania imekuwa chungu kweli ukizingatia zimebak siku chache na wanafunzi wa diploma kwenda vyuo vikuu ni kama vile wametelekezwa au ndo hamna thamani. Pili vijana waliopata div 3 ni...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani kama bado una shida na NACTE haujaapply hadi sasa hivi natoa msaada wa bure kabisa. Kama una shida yoyote niulize ili ukamilishe usajili wako. Na vyuo navyo competition ni kubwa sana hasa...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Nacte yavifutia vyuo 5 nchini, 41 vyafungiwa kuendesha mafunzo Na 175 vapewa notisi ya kushushiwa hadhi...orodha ya vyuo vitano vilivyofutiwa usahili Na NACTE viko hapo kwenye picha. Source ITV...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu msaada wenu...anayefahamu sifa zinazomwezesha mtu kusoma basic certificate ya journalism kwenye chuo cha DSJ tafadhali anijulishe hapa..
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wanabodi, Nimejaribu kuangalia namna malipo ya michango inayotakiwa kulipwa katika shule mbalimbali za serikali kwa upande wa ''advance level'' kama ilivyowekwa katika website ya wizara husika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ebu tusaidiane hv kati ya mwalimu wa sayansi sekondari na engeeneer nani ana fursa nyingi za kumake mkwanja nje ya mshahara.
2 Reactions
70 Replies
11K Views
Hello! Naomba msaada wa taratibu zote za kufwata wakati umepoteza cheti cha form4 hadi uweze kukipata cheti kingine. Asante sana.
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Samahani jamani mdogo wangu kachaguliwa chuo hicho kusoma certificate ya journalism. Naomba kwa anayekifaham hicho chuo anisaidie kujua. Kipo Morogoro sehem gani? Naomba nisaidiwe mawasiliano yao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom