Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuna kijana mmoja kafaulu kidato cha nne 2015,lakini hajapata post ya kwenda kidato cha tano wala chuo cha ufundi ...... Yupo streesed anajiulza afanyaje.... Anayejua plz...tusaidiane ktk hili...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hey friends, Kuna ndugu yangu nlikuwa namfanyia application kwa tcu, wakat nafanya adding ya re-sit kwa form 4, naletewa error inasema redundancy error, kama Kuna mtu ashaipata hii error, na how...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
6:4:2:3+ UFANYIWE MAREKEBISHO HAYA YA MSINGI KUNUSURU ELIMU YETU. NA ALLY RAMA. Naandika maoni Haya nikiwa na imani kubwa kuwa itawafikia walengwa na maoni yangu yatachukuliwa kwa uzito Mkubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaopenda kusoma nje ya nchi kuna fursa kwenye hizo link hapo chini. Changamkieni wakuu http://www.tcu.go.tz/images/documents/FURSA_ZA_MASOMO_CANADA.pdf...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ni mahususi kwa wale wote waliochaguliwa na butimba pamoja na yeyote mwenye chochote kuhusu chuo hicho. nawakarbsha wote
0 Reactions
10 Replies
5K Views
..watanzania hasa wale wa hali za chini tulishukuru kukuwa kwa sekta ya elimu hasa katika ngazi ya vyuo vikuu, ongezeko la vyuo binafsi lilipunguza idadi ya wanafunzi wenye sifa za kuendelea na...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
hivi kama mtu ana d phy, e chem,e bios,e bam, e gs. form six 2016, mbona ndalichako anabana , hatima ya hizi three ni nini wadau[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hizi ni tetesi, kama tetesi zinaweza kuaminika basi ziaminike. Kwanza, TCU hawaja release mwongozo wa Equivalents kwa kuwa GPA ya 3.5 inagomba. Hii ni kwa sababu regulation ya GPA haipo standard...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Naombeni mwenye joining instruction ya mwaka jana ya chuo cha ualimu tukuyu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mtu aliapply mwaka jana akapata chuo lakn kwa kuw ni inservice hakupata ruhusa. Mwaka huu ameenda kuchukua barua akaiambatanisha na maombi ya kufanya udahili upya lakn mpaka saiv akichek...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Jaman nimeambiwa link imefungwa sielewii
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari,,Hivi Kwa Mwanafunzi Aliekosea Kujaza Chuo (FORM YA TCU)Kwa Sababu Mbali Kama Vile Aliweka Taarifa Tofauti Mf.Namba Ya Kumaliza Kidato Cha 6 Je Ni Hatua Gani anaweza Kuchukua??Je anaweza...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama inavyojiekeza katika kichwa cha habari wadau, naombeni kujuzwa juu ya ada za shule za serikali za advanced Na kama michango mingine inaruhusiwa, kuhusu o-level nafahamu ada na michango...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeulizwa hapa nimekosa jibu. Wakati wa kulipia NACTE naona namba moja ni NACTE namba tano ni NACTE CAS,,Analipia ipi maana mdogo wangu ana mchecheto hapa.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
jamani kwenye utoaji wa mkopo wanaangalia kama umesoma shule ya serikali au binafsi katika maisha yako ya elimu yani olevel na advanced level.?
2 Reactions
19 Replies
3K Views
jamen hv ukishaprint hyo fom huruhusiwi kuedit au kubadili vyuo?
0 Reactions
18 Replies
1K Views
wakuu heshima kwenu Namsaidia dogo kuaaply chuo but baada ya kujaza page ya pili inaniliete ''sorry,either your payment id is not varid or there was a delay in receiving your payments details...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Pamoja na wengi kuchekelea kupandishwa kwa ufaulu kwenda chuo kikuu point 4 kwa kidato cha 6 na diploma 3.5 kama sifa lingani. Tofauti na miaka yote wanafunzi wote wa masomo ya Sanaa(Arts)...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ikiwa siku zina yoyoma na wapo watu washaenda tcu ofisin kwa matatizo ya system Cha kushangaza tovuti hiyo haifunguki tangu jana jumatatu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
TCU katika maelekezo yao ya vigezo vipya vya kujiunga na Vyuo Vikuu Nchini walisema pia kuwa Foundation Courses, Bridging Courses, na Access Courses zimefutwa kama njia ya kuingia Chuo Kikukuu...
1 Reactions
4 Replies
39K Views
Back
Top Bottom