Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa wale wote ambao hawajaapply nacte na ana vigezo vyote natoa msaada wa kujitolea ila uwe na vtu vyote vinavyohitajika mawasiliano 0766414834(whatsapp)
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF toka juzi NACTE walivyotangaza kuanza kupokea application za diploma nmekua Nikiingia kuapply but nakuta kozi za certificate pekee yake but za diploma hazipo inakuwaje hapo wana JF...
5 Reactions
47 Replies
7K Views
Habari zenu wana jamvi!! Nina mdogo wangu aliechaguliwa kusoma education lakini hakuripori chuoni, sijui utaratibu ukoje, kwa mwenye kujua Tafadhali naomba anijuze
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari wanajamvi! Tukumbushane misemo, salamu au mistari ambayo tumekutana nayo kwa kusoma vitabu mbalimbali hususani wakati tupo shuleni. Mimi binafsi bado nakumbuka hii; 1. "People of...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani napenda kujua MD pale St Joseph iko vipi? maticha wapo? Vipi maabara za maana wanazo? Na ina muda gani hiyo coz toka imefunguliwa!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanabodi naomba kuuliza hivi ukipata asilimia sifuri Je bumu unakula?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kila mwaka nchi ya Tanzania huungana na nchi nyingine duniani kote kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama.Kwa sababu unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee ni muhimu katika ukuaji na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Niliaply mwaka jana kwa vigezo vya Tcu 2 point cut off kwa maana ya E E nikaahirisha mwaka wa masomo chuo na kupewa barua ya kukubaliwa kuahirisha mwaka na kutakiwa kutoa taarifa ya kwendelea na...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nilikuwa nataka kufahamu hiyo coarse hapo juu vizuri na hata ajira zake zipoje.. Nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada nacte mpaka leo hawajatuma user name na password yangu mwenye mawasiliano ya nacte anipe namba
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ndugu yangu ana diploma kalipia NACTE na anatakiwa kuapply TCU baada ya mabadiliko. Analipia tenaa au !?? Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
892 Views
kuanzia mida ya jioni page ya TCU ilikua haifunguki ila NACTE ilikua inafunguka lakini mda sio mrefu tena nayo NACTE haifunguki au ndo wamefunga kabla ya tarehe 5
1 Reactions
7 Replies
1K Views
naomba kuuliza swali moja tu kuhusiana na uombaji wa vyuo kwa wahatimu kidato cha sita mwaka huu!! swali langu ni kama ifuatavyo:- kwa mtu ambaye alipata division three pia mwenye D moja Na E moja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salama wanajamvi. Tafadhali kwa mwenye kufahamu ada za vyuo vya ualimu vifuatavyo anisaidie: 1. St. Aggrey Chanji College of Education and Business Studies (Sumbawanga) 2. Archibishop Mihayo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Njoo Halmashauri ya Geita nije moja kati ya mikoa/wilaya zifuatazo; Dodoma Municipal Morogoro Municipal Kibaha Bagamoyo Korogwe Mji/DC Tanga Jiji Dar es Salaam. Idara-Sekondari. Mawasiliano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vyuo vya diploma vya serikali vinavyofundisha masomo ya sayansi yani Biology na Chemistry naomba nivijue.Nataka nimwone dogo. Asante
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu ni mwezi Wa name Sasa. Tume mpaka Sasa hawajatoa deadline za kuomba chuo? Mwenye kujua au kumfahamu mwisho lini anisaidie!!!!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ninaye dogo hapa kamaliza kidato cha nne ana 4 ya 26. anazo c mbili na D tano. niliomba chuo cha kilimo hapa Mwanza. Kupitia chuoni mpaka sasa naona jina lake halikurudi. Je nifanyaje au niombe...
0 Reactions
2 Replies
709 Views
Ninaye dogo hapa kamaliza kidato cha nne ana 4 ya 26. anazo c mbili na D tano. niliomba chuo cha kilimo hapa Mwanza. Kupitia chuoni mpaka sasa naona jina lake halikurudi. Je nifanyaje au niombe...
0 Reactions
1 Replies
857 Views
Back
Top Bottom