Hadi leo ukimwuliza mwalimu, mwasibu, afisa ugavi, afisa kilimo, na wengineo wenye stashahada nini matumaini yake kupata elimu itakayomwongezea maarifa au a nakwambia bora nisingesoma fani hii...
Wakuu najaribu kujiuliza ni kwa nini course za engineering naona waombaji wachache?.
Has a ukizingatia zile course zilizopo cluster 1,ambazo zinakipaumbele kikubwa cha mkopo mpaka sasa sioni...
Ndugu wana jf kama kichwa cha habar hapo juu naomba kujuzwa hizo second selection za kwenda form V zinatoka lini au nichangalamacho maana watu wamesubr sanaa ilaaa waheshimiwa wapo kimyaa
..........,Baraza linaomba ifahamike kuwa vyuo na kozi zilizojaa hazitaonekana tena wakati wa maombi bali kozi zitakazoonekana ni zile zenye nafasi tu.
Orodha ya kozi zilizojaa zimeainishwa hapa...
Naomba kama kuna mtu yoyote ambaye anaweza au ana ndugu /rafiki kuniwezesha kupata uhamisho wa kwenda vyuo tajwa hapo juu kwa uwezo na gharama Wowote utakaoitajika nitashiriki ipasavyo. NiPM au...
Habari wana JF,
Moja ya features za colonial education ilikuwa ni kuwachuja watu kwa mitihani migumu ili kuwapata wachache ambao wangewatumia kwenye shughuli za serikali yao. Hivyo mitihani...
Nataka kuapply diploma in primary education but kwenye guidebook ipo lakini nikifanya application zilizopo ni certificate tu ....shida ni nini na snifanyeje?
Wadau kuna tetesi nimesikia toka kwa mtu wa karibu pale uhaziri tabora kuwa course ya procurement imefutwa..je kunaukweli wowote ktk hili..tafadhar kwa anayejua.
Nakaribisha maswali kwenye hili eneo kuhusu tabia nchi, hali ya hewa, mabonde, milima, mito, bahari, mazingira, majanga ya asili, anga na mengine yaliyomo. Lolote linalokutatiza uliza, majibu...
Nimesoma taarifa kwenye website ya NACTE nimeona kuna baadhi ya mambo hayana ukweli kama ifuatavyo:
1: NACTE wanasema kamati yao ya udahili imekaa kati ya July 18 na 21 ili kuchagua walio na sifa...
Habarin za jion wadau wa JF
Ninaomba kujua/kudadavuliwa kuhusiana na hiyo course hapo juu inahusiana na nini au watu wake wanajishughurisha na nin. Ni upi uzur na ubaya wake katika soko la ajira...
Habar wana jamii forum,
Ninaitwa HAASAN AKILIMALI , Ninafanya shughuli za designing na nikiwa nimejikita na utengenezaji wa vitambulisho na busnescards katika mashule na taasisi tofauti...
Kwa anaejua shule yoyote ya private kwa upande wa advance yenye michepuo ya sayansi including CBG,tusaidiane kwa majina ya shule izo na maeneo zilipo
nawasilisha wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.