Habar za humu wakuu...naomba msaada kati ya MBA in finance,human resource and marketing ni ipi iko pouwa kwenye ajira na pia mshiko.
mhusika ana advance diploma ya marketing miaka ya...
Jamani kama mtu yeyote aliyeomba diploma ya ualimu.(higher diploma )je unaomba kama university yaani mpaka uchague vyuo zaidi ya viwili.ama unachagua kimoja tu.nisaidie kwa anayejua.nataka...
Habari waungwana!
Mimi nipo kazini na ninampango wa kusoma degree cozi nimeanza na diploma
The problem is chuo nilipata GPA ya 2.6 na form six nilipata div three ya pts 14 ikiwa ni DEE
sasa kwa...
Naba kujua kama kuna post zozote za walim kwenda kusoma kama zimetika kwa sisi tuliomaliza na kupata dvn 111 jaman...maana nimeaply lakin hakuna jina langu jaman nikiwa naangalia katika ukurasa...
Habari wana JF,
Ni masikitiko yangu makubwa kuona thread nyingi humu JF vijana wanahangaika huku na kule katika kufanya maombi ya program mbalimbali, hasa kupitia NACTE. Katika kupitia thread...
jamani mi nlikuwa nauliza kwa wanaojua hivi bodi ya mikopo inaposema mwsho tarehe 30 kupokea maombi inaansha ni mwisho kwenye system tu au hata posta au ukichelewa kutuma hard copy ulioprint...
University of Dodoma imetoa cozi nyingi zikilenga wanafunz waliokosa principle pass mbili yan D mbili lakini kuapply kwenye hizo kozi inatakiwa ulipie tena na wanatumia Central Admission System...
Katika kitu ambacho kimenikarahisha kupita yote ni kwamba kwa mtumishi yeyote wa serikali anayetaka kwenda kujiendeleza kusoma shahada ya kwanza ni lazima asitishiwe malipo ya mshahara wake wa...
Mbona Kuna watu wanadai wamesha apply DIPLOMA hii round mpya ya sasa wakati mimi nikiingia naambiwa Certificate tuu vyuo vya DIPLOMA sivioni au computer zimetofautiana!!!!!?
Habari za kazi wakuu?
Mm nimesoma diploma nataka nijiunge na degree na vigezo ninavyo..
Naomba muongozo jinsi ya kuapply ni TCU au NACTE?
Procedures zikoje?
Msaada wenu wataalam plse.
Wadau mwenzenu nipo njia panda hivi Ndalichako anaposema atawatoa watu vyuoni. Je hii inahusisha hadi waliomeet minimum entry za miaka ya nyuma ila kwake yeye hawana vigezo, au ni wepi hao...
Kwa aliyepata adm.no.na barua ya kuahilisha masomo mwaka jana...lakini hakuomba mkopo, kwa mwaka huu ili apate mkopo kuna cha ziada katika form ya maombi hayo.? Kwa anefahamu please.!
samahani jaman msaada plz mim nataka kuendelea na degree nililipa pesa yangu nacte kabla hawajasema tunatakiwa kuaply TCU je kuna tamko lolote limetolewa kwa sisi tuliolipia nacte au ndo pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.