Nataka mnijuze hivi degree ya business administration NIT iko vzur unaweza kuwa marketable na vip kuhusu bachelor of science economics,project n planning mzumbe ina deal na nin hasa yan kaz zake...
Habari wazee...
dah serikali hii au sijui ni vyuo tu yaani nimefanya vizuri science lakini naenda kuchaguliwa course ya uwalimu doh....it's all good.Kwa wale waliochaguliwa ''Tumaini University...
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesitisha mahafali ya wanafunzi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo mchana chuoni hapo jijini Dar es Salaam, ambapo Waziri...
Ndugu wasomaji na wachangiaji wa jukwaa hili, salam kwenu. Naomba mwenye kujua atufahamishe sifa mahususi za kuteuliwa kuwa:
=Afisa Elimu upande wa Sekondari na Primary
= Mkuu wa shule upande wa...
Hivi kwa nini Tanzania tusingekuwa na syllabus inayofanana kwa similar courses ambazo hutolewa vyuo vikuu?? For example, kama mtu anasoma Bcom Accounting UDSM, na mtu mwingine anasoma Bcom...
Kutokana na kuenea kwa lugha ya kiarabu duniani kote kutokana na kukuwa kwa uchumi na vitega uchumi nje ya nchi za kiarabu imepelekea fursa za masomo, biashara (ikiwemo hijja) na uwekezaji na nchi...
I kindly requesting your ideas about which way i should take to fulfill my teaching desire.I did Nacte application[teaching certificate] but if failed to make it due to my perfomance.
nilipata 4...
Habari za majukumu wana jukwaa la siasa.poleni na hongereni kwa harakati za maisha ya kila siku hasa katka kuchambua sera za wagombea wetu ikiwa ndio tupo ukingoni kuelekea October.
Nimesoma...
naomba kuuliza, je serikali kusema kwamba hawa vijana waliopata division 3 kwa masomo ya science yaani pcb, pcm, pgm kwa kukosa D mbili je, utaratibu gani umewekwa ukizingatia vyuo vya diploma...
Nimejaribu kuadd number yngu y form 6 nliomaliza mwka huu lkn inakataa inaandika" index number entered is either not valid or does no exist" aliofanikiwa anawez kunielekeza nifanyje kutatua swala...
Nia ya kisiasa ya kuifanya Tz ya viwanda itakuwa ni hadithi kwa hizi grade mpya za A-Level.
kwa sasa PCM, PCB, PGM, CBA, CBG na comb nyingne za sayansi weng wao wanasoma kwa malengo ya kupata D...
Ndugu wana jf, habari, polen na majukumu.
Ninaomba kufafanuliwa kuhusiana na hii course kwa upande wa O-level. Je mtu mwenye D4 kidato cha nne anaruhusiwa kuomba course hyo? Taratibu za maombi...
Civ B history C English D kisw B Geo C bios C chemistry B mathematics C physics sikufanya ilikuwa division II 18.
Je naweza chaguliwa kusoma(Co) clinical officer nikiapply nacte?
Naomba...
Wakuu,kuna mdogo angu amemaliza kidato cha sita,amepata Div 1..EC B, GEOG B,HISTORY C (HGE) , tatizo linalo msumbua ni F yake ya math o'levo na A' levo alipata F ya BAM. Anataka asome BAED...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.