Habari wakuu,
Mimi si mwenyeji saana wa Zanzibar, kwasasa ninaishi hapa kisiwani naomba kujua ni wapi wanafanya review classes za CPA(T) kwa hapa kisiwani Zanzibar.Tafadhali mwenye taarifa sahihi...
jamaa kasoma degree ya Finance and Accounting Mzumbe baada ya kukaaa mtaani miaka mitatu bila ajira ameamua kuapply diploma ya Clinical medicine mwaka huu.........amemaliza form four mwaka 2007...
Nlifanya mtihani wa 4m 6 mwaka 2014 na matokeo yangu yalikuwa Geography C, Economics C, Mathematics E. Niliwekewa division 4 bila points (hapo nilifeli Math ndo maana nikapata 4).
Je naweza...
Habari za mihangaiko waheshimiwa,
Naomba msaada/tujadikiane katika hili! Hivi ambae ulishamaliza form V unaweza kuomba kufanya mtihani wa somo ambalo hukulifanya katika mthami wako wa kwanza...
Wakuu,
Nimeona nilete uzi huu kwani tokea enzi za mwalimu, watu wengi wamekuwa wakikimbilia kusomea ualimu kama njia rahisi ya kuajiriwa serikalini, kwani mhitimu wa kozi ya ualimu, matokeo yake...
Nina mdogo wangu last year alifanya application ya vyuo tcu ila akufanikiwa kwenda ingawa alichaguliwa,sasa mwaka huu anataka kwenda kusoma sasa wakat tunafnya application tukakuta bado anaonekana...
Afican scholarships: Ndugu Wana Forum Nimeanzisha Scholarship site kwa Wana Africa. Kama kuna mtu ana mpango wa kusoma (undergraduate or postgraduates) na hana scholarships basi atembelee na kama...
MFUMO WA KUTAHINI WA NBAA UTAZAMWE UPYA
Naishangaa sana NBAA. Wakati nchi nyingine za muungano wa jumuia ya Afrika Mashariki zikifanya kila juhudi kuhakikisha wananchi wake hawaachwi nyuma...
Baada ya serikali kukaa kimya kwa kipind kirefu sasa imeamua kupitia na kuhakiki majina ya wanufaika wa mkopo ya Elimu ya juu kupitia HESLB. Haya ni baadhi ya tu ya majina kati ya wanufaika wote (...
Wana jf habarini, naamini humu kuna walimu, wataalamu, wanafunzi na wote waliopitia katika suala zima la elimu, uzoefu wenu kama walimu, au wataalamu naamini naweza kupata msaada wa jambo...
When will the second selection for form FIVE 2016 be published?
You can predict the publication of the form five 2016 second selection by referring back to when they were published last year...
MSAADA TUKIPATA TATIZO TUPIGE WAPI SIMU.NAOMBA KUJUZWA HUO UJUMBE NI SMS TOKA NACTE.AU NATATUA KWA NJIA ZIPI?(At any point in time if you encounter any problem, do not hesitate to contact NACTE by...
Hizi Website za TCU na NACTE.. Ni kero Tu Mtandao Una Jam kama nn. Ukizingatia watu wanao Apply Hawafiki hta Laki.. Ki website Kishajam...
Sasa Wangekuwa wanamiliki Website kama Facebook ingekuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.