MASTER ipi kati ya hizi ipi inaweza kukuajiri au kupata consultancy nyingi. Wenye uzoefu mlioko kwenye Industry
Msc ICT in development
or
Msc IT in project Management
Msaada kwenye tuta!!
kuna pesa zilitoka kwa ajili ya siku ya elimu lakini zikapelekwa kwenye shule ambazo zimefanya vizuri na shule kongwe ...sasa kuna shule moja waliingiziwa pesa na mkaguzi yeye maelezo yake ni kuwa...
Jamani hv iz points wanaz converts sehemu gani?
mbna matokeo yapo vlevle ya 2014.
Au wametusamehe wa miaka ya nyuma.
ambaye matokeo yake yako tofauti yaani wameyabadrsha atujuze.
Maana jamaa...
Tafadhali husika na kichwa cha barua hapo juu!! Mm ni muhitimu wa ngazi ya stashahada na ninaetarajia kujiunga na shahada ya kwanza! Lakini nimekutana na changamoto kubwa katika swala la...
Naona watu wengi wanatoa taarifa kuwa ndalichako kasema anadahili upya kwa kutumia mfumo wa sasa yaani Guide book ya sasa maana nimeisikia hivo vitu nijuzeni au mnipe source aliongea wapi na lini...
Tume ya Vyuo Vikuu nchini imetoa Taarifa kwa Umma kukanusha uvumi ulioenezwa kwa njia ya mtandao juzi na jana kwamba Tume hiyo imezuia Vyuo 22 kufanya Udaili wa Wanafunzi katika mwaka wa masomo...
Amani iwe kwenu.
Poleni kwa kuwa na subira ya kuhamia katika kituo kipya cha kazi.
Nina dukuduku, ikiwa watumishi wawili wamekubaliana kubadilishana vituo vya kazi mf. halmashauli X na Y, na...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimefanya malipo kwa njia ya Mpesa ili nipate vocha numba ya TCU kwa ajili ya selection za vyuo.
Ajabu ni kwamba kila nikiingiza vocha niliyopewa napata...
Habari zenu wakuu.
Naomba mnijuze namna ya kuomba mkopo bodi ya mkopo kwa mwanafunzi anayeendelea na masomo. Nasikia kuna form maalum unaipata kwenye mtandao baada ya kujaza form za mkopo na...
Jamani, tusaidiane hapa tafadhali wanandugu. Mimi ninaapply diploma NACTE, nina shida na kozi za afya za KCMUco ila hiki chuo sikioni kwenye list. Tatizo liko wapi? Nafanyaje kukipata kwenye...
Jamani wanajamvi nilikua naomba msaada wa hizi course
1.Bachelor of science in land management and valuation at Ardhi University
and
2.Bachelor of arts in local goverment management at Mzumbe...
Hivi matumizi ya cheti cha A'level kuomba diploma za Afya hakihusiki?
Maana naona criteria ni za O'level kuanzia Biology-C,Chemistry-C Physics-D.
Sasa huyu mwombaji ana EED ya PCB A'lev...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.