Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu habari ya wakati huu,naombeni mnisaidie kunifahamisha jambo hili,Nimemaliza diploma mwaka Jana na nimepata GPA ya 3.9. Tatizo lililopo kwenye provisional examination result (ambayo...
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Tafadhali nisaidieni waungwana, Hii kozi iitwayo Certificate in Information Communication ni kozi inayohusu nini?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, naomba msaada wanajf, Confirmation code kama ilivyoelezwa na NACTE ni lazima ianze na herufi, sasa payment ID yangu inaanza na namba, nifanyaje?nimejaribu kutuma hivyo hivyo imeshindikana..
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini, NACTE washafungua mfumo wa kudahili watu wa DIPLOMA???Naomba mnijuze maana jana ilikua hamna. Asanteni
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana Jf nimebahatika kuchaguliwa Lindi kwa kozi ya clinical officer lakini kuna tetesi kuwa ukisoma hii kozi huwa chakula ni kujitegemea sasa naomba anayeifahamu Lindi anipashe kuhusu gharama za...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Code ya airtel money imegoma leo siku ya tatu. Naombeni ushauri
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada code za mpesa nilizotumiwa zinaanza na 3GA3..... hazikubali kufungulia account. Nifanyeje wakuu?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu...nilitumiwa sms na wizara ya elimu ya kujaza form za mikopo online....kwa wenye kujua hii process naomba atueleweshe...maana kwenye website ya hlsb sioni category inayotuhusu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Walioapply scholarship China Juangzu zilitangazwa TCU muda wa kucheck email. Leo asubuhi nimetumiwa email. Ebu angalieni bahati zenu mi nimekosa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuna aliyeyaona naomba atuwekee hapa jamani!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu Nimefuatilia cheti cha kifo cha mzazi ili nikiambatanishe na fomu sasa sijakipata maana kila nikijaza kwamba mzazi alifariki namba ya cheti lazma iwepo. Nimeamua kujaza mzazi yupo...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Mwanangu amekosea kujaza form za mkopo kisha kaprinti. Nini cha kufanya ili kurekebisha? Je ni kujaza form kwa kulipa upya? Msaada tafadhali kwa nayejua.
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Kwanza kabisa nawasalimu nyote wakubwa kwa wadogo poleni na majikumu ya ujenzi wa taifa.Mimi ni kijana ambaye hivi karibuni nimehitimu elimu ya kidato cha sita lakini kiukweli matokeo si mazuri...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Salaam wana JMF Kufuatia mabadiliko makubwa ya grades za kujiunga na elimu ya chuo kikuu yaliyofanyika juzi, kuna mdau anaomba kwa mwenye uelewa wa kozi za udaktari wa binadamu (MD) ni kozi gani...
0 Reactions
0 Replies
758 Views
The Book "God's Mystery That Is Christ" discusses the meaning behind the six days of Creation and the seventh day of Rest. This Book sets forth the importance of the Creation Story and...
1 Reactions
1 Replies
698 Views
Hatima ya wanafunzi wa ST. Joseph wenye sifa ya kusoma ualimu wa masomo ya sayansi ni ipi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana natafuta mwalimu wa Tuition kwa masomo ya sayansi, fizikia,biologia,chemistry na hesabu kwa kidato cha nne ni PM.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu Habari Zenu? Kabla Ya Kuapply Chochote, Naomba Kwanza Munijuilishe Kama Kuna Tofauti Yoyote Kwenye Course Hizi:- 1) Bachelor of Science in Education 2) Bachelor of Science with...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom