Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani nimechaguliwa na NACTE diploma ya medical lab Kampala University (KIU). Nimeskia eti kilikuwa na matatizo. Je yameisha?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Duniani na mbinguni hili linaeleweka kabisa bila mawaa! Kamwe masomo ya sayansi hayajawahi kuwa na uzito sawa na masomo ya arts! Kwamba kidume aliyetusua Physics - D, Chemistry - D, Advanced...
6 Reactions
62 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, mimi nmemaliza form 6 mwaka huu ila nimekosa principles za kuingia elimu ya juu. Sasa nimeplan ku reseat ACSEE mwakani. Mwenye uelewa au ushauri juu ya hili...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Wakuu msaada, Anayefahamu ada ya chuo hiki kwa mwaka pamoja na michango mingine naomba amwagike hapa. Nitashukuru sana tena sanaaaaaa. Ahsanteni
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanajamvi, Mimi nmehitimu form six mwaka huu na matokeo yangu ni division 3.13 ya DDE. Sawa nina D mbili ila ndoto yangu ni kuwa daktari na kwa alama hizo siwezi kusoma degree ya udaktari...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Jamani kwa waliochaguliwa hapo vipi mmeshapata fomu kutoka chuo au unaipataje?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau vipi, Mimi nina division 3 ya 24, niliapply diploma in primary education, matokeo yake wakaniandikia "add qualifications" wakati nilishaziadd mwanzo!!!. Naomba anayeelewa hili anisaidie...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimechaguliwa Ndanda Nursing diploma. Mwenye kukijua chuo hiki anisaidie na je mazingira yake ni rafiki kwa mwanafunzi?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wale tuliochaguliwa higher diploma in education tukutane hapa vyuo 1.KLERUU TTC 2.KOROGWE TTC 3.MONDULI TTC
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa wale wahitimu wa kidato cha sita mfumo umeshafunguliwa Link TCU CAS | Home Kwa tatizo lolote tukutane hapa Guide book link...
7 Reactions
170 Replies
23K Views
Nimemaliza form four 2010 nikaingia kitaa. Nina lesseni ya udereva ila kazi za udereva hazilipi nataka nijiongeze kielimu. Naombeni ushauri ndugu zangu. Asanteni
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimejaribu kuangalia hizi grade za TCU na grade za chuo alichosoma mdg wng Ni kuwa zipo tofauti sana. Kwa mfano B ya TCU imeishia 50 wkt ukipata 50 ktk chuo alichosoma yy ni sawa na C afu uyu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba msaada tafadhali dogo kamaliza six kapata dvs 3 ya 14 so ana DEE anataka aende dipl.ualimu na fungua nacte cioni guidebook ya ualimu au kuna utaratibu mwingine waliosoma au wenye ufahamu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kuna vyuo vimefungiwa lakini NACTE wamewapeleka wanafunzi je wale wanafunzi walio pelekwa katika vyuo ambavyo vimefungiwa mfano ECKENFORDY YA TANGA
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau ningependa kujua aliyeapply nacte kwa kozi hiyo ambaye amechaguliwa naomba kupsta uzoefu wake namna alivyofanya maana mimi nimekosa sijui kwa kuwa nina mwaka mmoja kazini sijapewa...
1 Reactions
1 Replies
877 Views
JAMANI WATANZANIA WENZANGU NAJUA WENYE UPEO MDOGO HUZANI HIKI CHUO KIONATESA WANAFUNZI ILA NIMEFANYA UCHUNGUZI NA KUBAINI YAFUATAYO KATIKA CHUO HIKI -NI CHUO NAMBA MOJA TANZANIA AMBACHO WANAFUNZI...
2 Reactions
36 Replies
7K Views
Mimi najiuliza kitu kimoja na sipati majibu. Hivi inakuwaje Mkuu wa shule anakataa kumsainia mwalimu barua? Mbona watu wanaongeza migogoro baada ya kuipunguza? Kweli JPM kazi unayo. Nakubali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana Taaluma humu ndani Nina jambo naomba nanyi mnipe ushauri wa kumsaidia mdogo wangu. Nina mdogo wangu wa kiume ambaye kamaliza kidato cha sita katika haya matokeo yaliyotoka hivi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani wale tuliochaguliwa na kujiunga na masters tajwa hapo juu ningependa tufahamiane hata kwa PM ili tuweze jua tunajipanga vipi kimashambulizi ya feb 4. Waelewa wataelewa tu.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wana jamvi msaada.eti kati ya vyuo viwili hivyo ,kipi kizuri kwa kutoa BAF niweke chaguo la kwanza?
0 Reactions
44 Replies
14K Views
Back
Top Bottom