Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu, Wanafunzi waliopostiwa Bunda chuo cha ualimu diploma mwaka huu tujuane 0765075887
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari za jumatatu wadau? NACTE wametoa matokeo kwa wale walioomba kozi mbalimbali ngazi ya cheti na diploma so naomba wale wote waliochaguliwA NATIONAL METEOROLOGICAL CENTRE tukutane hapa ngazi...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Niwashauri kama huna sifa walizozisema TCU kwenye guide book yao usijisumbue kutupa hela na muda wa kuapply fanya mambo mengine, hii serikali ipo serious sana najua hamtaamini wapo mtakao jaribu...
5 Reactions
39 Replies
6K Views
Naomba msaada maana nasikia machaguo ya wale waliomba kujiunga na vyuo vya elimu diploma na chet wametoa ila mimi sijafanikiwa kuona ..
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimemaliza diploma ya computer science GPA 4.0 ila form 4 chemistry nilipiga mswaki yani F masomo mengine nina PASS . Sasa hivi nataka niombe TELECOMMUNICATION ENGINEERING Kwenye vyuo kama UDOM...
0 Reactions
3 Replies
765 Views
Natanguliza salam kwa kila member. Hii thread itahusisha carriers ambazo zina soko la ajira hapa Tanzania pia watu ambao wapo katika hiyo field ni wachache na wanahitajika kwa miaka ya sasa pia...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Ipi tofauti kati ya Diploma in Nursing(In service) na Diploma in Nursing na je kazi ya nursing ni kufunga vidonda tu? Naomba mnifahamishe ndugu zangu.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jaman wakuu nmekuw nkiwaza san hili suala la wa2 kuiponda UDOM kw mda mref, coz utackia ooh mara hamna cjui; 1. Maji hakuna 2. Walimu vilaza 3. Wanafeli sana 4. Chuo cha CCM 5. Vilaza 6. Wanafunzi...
2 Reactions
88 Replies
13K Views
Jaman nataka kujua zaid kuhusu hii koz ya biomedical engineering Inahusiana na nn na ajira zake zipo ???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwaka 2015 Ilisemekana kutakuwa na Posho za Walimu wakuu na Waratibu Elimu sasa mpka Leo sioni chochote kinachoendelea au ndo kusema ilikuwa ni gia za kisiasa??? Utekelezaji wa mpango huu upo?
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Habarini wanajamvi, Nini tofauti ya upimaji na tathmini ya mitaala? Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau nina Mpwa wangu alikuwa anasoma PCM amepata Physics C,chemistry C,na Mathematics C genel study E na matokeo ya O-level ana division one ya point 16. Kwa kweli yeye binafsi hajui asome coz...
0 Reactions
3 Replies
905 Views
Wanajamvi Kuna kitu kinanichanganya kichwa toka jana. Nimejisajili jana tcu ili nipate kuapply chuo. Nikalipia pesa nikaletewa transaction ID vizuri tu. Nikaji register nikajaza baadhi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau kwa anayefahamu kuhusu B.Sc.in Bioprocessing and Postharvest Engineering ya pale SUA maana kuna ndugu yangu anataka kuapply lakini nikimuuliza kuhusiana na hiyo kozi maelezo yake anaonyesha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimewaletea uzi huu nikihitaji ushauri wenu kwa alama hizi: Division 4 point31 Yaan D4 ikiwemo bios,english,kisw,na history Niombe kozi ipi?
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari viongozi.... Kwa wale walio apply NACTE, Hivi mfano unakuta chuo kinatoa certificate ya nursing 2yrs Halafu ada wanaweka 2,100,000/= tusaidiane hapo hiyo ada ni per year au miaka yote...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimejiunga na mfumo wa nacte registration online ila mwanzo nilikua naweza kuingia ila kwa sasa inaniambia user login inakataa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndungu wana jf mm niliaply NACTE coz zifuatazo 1 diploma ya Afya 2 diploma ya education 3 IT ufaulu DIV III 24 CIV CIV D ENG C HIST D GEO D KISW C PHYS F CHEM C BIOS C B/MATH C lakini sijapata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nadhani ingekuwa busara kwa serikali kuangalia hizo 3.5 kwa baadhi ya vyuo maana chuo kama DIT mtu kupiga 3.5 diploma masomo yale ni tatizo. Mtu anapiga course 11 semister 1 na project juu sio...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Mwenye mawasiliano ya chuo hiki cha ualimu ninaomba anipatie, maana kwenye web yao hakuna contact zaidi ya email. Au kwa mtu anaefahamu ada ya chuo hiki inayojumuisha "meals...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom