Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari, wakuu kuna mdogo wangu amefanya malipo M PESA toka Jana 26.07.2016 saa 7.04pm cha ajabu hadi sasa navyojaribu kumfanyia application inagoma nakutania na Ujumbe wa namna hii
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Huku Musoma watu wanaendelea kuisoma namba na sasa wanautambua vyema ule wimbo wa ccm hasa kile kibwagizo kisemacho "CCM NI ILE ILE". Wazazi wenye wanafunzi wasomao shule ya sekondari...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Ndugu zangu habarini za sa hizi,mimi ninashida moja hivi kwa nilivyosikia et TCU wanavyopanga grades zinatofautiana na vyuo vingine kwa mfano sisi C inaanzia 50 na wao TCU hawana B+ sisi tunayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamii Forums naomba msaada kujulishwa tatizo lipo wapi katika kutuma maombi na CAS kila nikijaza voucher namba kutoka TCU inaniletea meseji kwamba the namba inserted ipo invalid. Nimejitahidi sana...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimetumia cheti cha kwanza ambacho kina credit moja tu najaribu ku add resit inagoma Majibu ni not passed What can I do? Msaada tafadhali
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu wangu waheshimiwa sana. Nina mdogo wangu wa kike kamaliza form six mwaka huu CBG matokeo yake ni DIV III ya 17 with : GS E Geog D Chem S Bios F Bam F Obvoius mpaka hapo hana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Jamani kama sikuchaguliwa nikiomba tena nalipia upya hiyo 50000 au 30000 au inatumika ile ya mwanzo?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naombeni msaada kwa anayeijuaa faculty ya Bachelor of Information Technology ( BIT ) inayofundishwa chuo cha NIT. Nawasilisha...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu wana jamiiforum, ningependa kufahamu namna ambavyo ningeweza kutazama majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya kwa ngazi za stashahada na astashahada(2016) bila kupitia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu,ningependa kuijuia kiundani zaidi programme ambayo najiandaa kuikabili kwa miaka mitatu pale ifm yani banking and finance...kwa wajuzi wa mambo je inacover aspect zipi?? Ni kitu gani...
1 Reactions
53 Replies
14K Views
Wakuu habari zenu. Naomba kuuliza ni fani ipi ni ya pesa nyingi halafu unapata ajira kwa uharaka zaidi kati ya Laboratory Technology na Pharmacy?
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu Naomba msaada kuhusu nacte kutokana na kua niliapplay diploma in primary education inanionesha sijachaguliwa lkn ktk vyuo vyote inanionesha ninanafasi nisubiri second selection...
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Jamani mwenye taarifa yoyote kuhusu matokeo ya bodi ya ya uhasibu naomba atujuze jaman tuone tulichovuna . asante. Napenda kuwataarifu kuwa orodha ya wanafunzi waliofaulu CPA imebandikwa kwenye...
1 Reactions
65 Replies
12K Views
wadau nimemaliza bcom-account pale mliman mwaka juzi 2012, sasa nataka nisome CPA kuanzia november mwaka huu, na nasikia kuna syllabus mpya, masomo gani yatanihusu. plz msaada
1 Reactions
35 Replies
14K Views
Jamani naomba mnisaidie,,,, hivi nacte unaweza kupiga namba zao za sim mda wowote ukawapata ? Au wana muda wao maalumu ?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu JF naomba kuuliza je udahili ngazi ya cheti bhado upo au kwasasa ni diploma na degree tuu. Ninamdogo angu hakufanya application awamu ya kwanza je kwasasa anaweza kufanya?
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Kampala international university(kiu) kinatoa kozi za AFYA kama vile,medicine, pharmace na laboratory kuanzia ngazi ya cheti mpaka degree..., utaratibu wa kudahili wanafunzi ngazi ya cheti na...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habarini ndugu JF, mm ni mwanafunzi chuo kikuu naingia mwaka wa 3 nasoma Bach in education ya science based only in biology. Matokeo yangu form 6 ya 2014 nilikuwa na B- Biology, D-chemistry na...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Wanajanmvi nina Div 3.13 ya form 6 with DDE. Ninapata mtafaruku hapa, wanaposema kwa MD cut-off-points zinatakiwa 5, hapa ina maana wanahesabu masomo mangapi?? Ni mawili au matatu yote ya combination?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Hello wanaJF, Naombeni msaada kama yupo anayefahamu ni namna gani 'application for Teacher Education' inafanyika kupitia CAS ya NACTE anisaidie maelekezo, especially orodha ya vyuo vinavyotoa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom