Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kama Unazfaham Shule Binafsi Za A-level Zenye Ada Nafuu Nitajie Iwe Ya Bord Kwa Wavulana Au Day,Husasa Ni Zile Zilzopo Mkoan Mwanza...Naomben Msada Wenu Nb:itakua Vyema Kama Utanitajia Na Ada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jama ni shida kwa watumishi hasa sekta ya elim idara ya TSD walimu wana wakati mgumu kitu ambacho walimu hushindwa kufanya kaz na kuwa watu wa kuomba uhamisho kila Mara,ni wilaya isiyo zingatia...
0 Reactions
0 Replies
949 Views
nnachotka 2shee ndg wnajamii wenzang ni mishahar ya hawa nahodha wa nch tz, i mean walim... kwann mishahara midgo sana
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Wakuu Naombeni Kwa Wale Wanaozijua Shule Nzuri Za PRIVATE...A-level Zenye Kiwango Cha Chin Cha Ada Na COMBINATIONS Ztolewazo Na Shule Husika.Zilizopo Mkoa Wa MWANZA NA MARA Mnitajie. NB:Itakua...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Habarini humu, Kuna tetesi ambazo zinaonekana kama ni kweli hivi. Kwamba mwaka huu vyuo vya afya ngazi ya cheti na sitashahada kutakuwa na mitihani ya Taifa kutoka nacte., ila mpaka sasa ratiba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naomba kujua vigezo na aina ya mtu anastahili kupata heshima au tunuku kutoka vyuo vikuu kwa utendaji kazi na mchango wake katika jamii.Na kiongozi wa chadema Mbowe anaweza kupata heshima...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wana-JF nauliza kuku jogoo huwa ana uume? Katika jitihada zangu za kujifunza sijawahi ona uume wa kuku jogoo lakini cha ajabu huwa anapanda majike. Kama anao huwa upo sehem gani? maana...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Nina ndugu yangu anatakiwa kwenda Dakawa secondary school,,kwa mwenye rafk anaesoma pale au mwanafunz yeyote aliyepo hapo tayari ani PM bac namba yake,,natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Naomba kuuliza eti Minimum Institutional Admission points zilizoandikwa TCU guide zinahesabiwaje???
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Habari Wandugu. Kwa Tulio Andika Barua Tcu Na Bado Hatujaruhusiwa Ku Aply IviMajina Mengine YatatokaLini??. Pia Mwenye Namba Za Tcu Naomba Atusaidie.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari,nadhani wengi sio wageni na hako katopic,tumekuwa tukifanya sana midahalo kipindi cha primary hata secondary..ila sidhani kama hadi leo kuna muafaka uliopatikana kuwa kimoja wapo ni bora...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu! Kuna ndugu yangu anataka kuomba Diploma ya Ualimu, anauliza watu wameshaanza kutuma maombi? Na kama wameanza mwisho ni lini? Msaada kwa anaye jua.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba ushauri ukimaliza bach of science with education open university unaweza soma chemical engeenering
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau kwa wale ambao walikua bado hawaja kamilisha kutuma maombi ya mkopo loans board wameongeza muda wa kutuma maombi mpaka 31 July_2015
0 Reactions
2 Replies
1K Views
-
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natarajia kuingia diploma lakini inabidi nianze na pre entry, je ni masomo gani ntaenda kusoma nipo electrical?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naomba direction kufika mzumbe sec kutokea morogoro basi stand ikiwezekana na nauli yake thanks
0 Reactions
7 Replies
4K Views
msaada tafadhali Kwa wanafunzi wa diploma wa Bandari college ambao wanamaliza mitihani yao mwisho wa mwezi wa saba na wanataka kujiunga na ngazi ya degree ku apply kupitiya TCU ambapo wanamashaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mdau amenipigia usiku huu ili nimpatie maoni yangu. Kwa bahati mbaya, achilia mbali kutojua masuala ya Elimu ya Msingi kwa kina, hata mtaala huo mpya sijausikia. Ikiwa kama unajua muundo na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kujua vyuo vitatu bora kwa kutoa degree ya sheria ha nichini
0 Reactions
38 Replies
35K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…