Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

.
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Hebu nisaidieni serikali ina mpango gani na hao ambao hawajapata nafasi ya kusoma stashaada ya uwalimu UDOM
0 Reactions
13 Replies
3K Views
habari wana jf wote mnaoifahamu songea boys high school naomba mnijuze
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ndugu zangu. Naombeni ushauri wa mawazo ya nini cha kufanya au wapi pa kuanzia, kuna mdogo wangu mtoto wa Shangazi yangu, amemaliza form 4 Mzumbe na kubahatika kufaulu kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 20 nilimaliza form four 2013 namshukuru mungu nilifaulu na kupata division one. Nilipokuwa naanza form 5 quarter ya kwanza shuleni nilisumbuliwa na magonjwa fulani...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Kama unaona advance. majanga aplly special diploma UDOM uanze kula hela(bumu) mapema…. hela mpaka ajira ni mwendo wa pesa tu
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Naomba mwenye mawasiliano yoyote ya chuo cha kilimo nyegezi anisaidie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Fore all those who are interested in the field of Agricultural Economics and Agribusiness; You are kindly welcomed to join The Tanzania Agricultural Economics and Agribusiness Association...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nahitaji, ziwe za physics, pure mathematics na chemistry a'level Pia kwa ajili ya faida ya wengine waweza kuweka hata za masomo mengine ya a'level na o'level pia. Muwe na Siku njema!
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Habari zenu wadau, Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuiona siku hii ya leo tena. Mada ambayo napenda kuiongelea hapa ni kuhusu vijana wote waliokosa nafasi za kuchaguliwa kujiunga na kidato cha...
1 Reactions
30 Replies
11K Views
Jamani samahani nani ana ndugu,jamaa au rafiki anayesoma pale chuo cha kodi mikocheni kuna mambo nataka anisaidie napiga namba ya chuo hawapokei
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mimi ni Mzanzibar naomba mnisaidie vipi naweza kupeleka barua za maombi ya ualimu kwani mimi ni mgeni sijui pa kuanzia na huku kwetu kazi ni tabu sana nishahangaika hadi nimechoka. Naomba...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau nina rafiki yangu hapa tunasota nae kitaa ye ana miaka 3 ana mdogo wake yupo form three mchepuo wa art leo amegoma kwenda shule amemwambia kuwa kama kaka yake amemaliza chuo kikuu akiwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimesikia eti wale wenye division four ya 32 mwaka 2013 yenye credit tatu walioko form six wanasajiliwa kama private candidate mweye ukweli was hili naomba anifahamishe
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hivi ni lini mwisho wa application za nacte wale wa diploma to bachelor? Na pia ni vyuo gani vina kubali direct entry?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau kwa yeyote anaejua fee na tarehe ya kurudisha form..anijuze mana mi nipo remote area.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mwenye joining instruction ya mzumbe form five anisaidie thanks milelejaphet@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Yaan kuna jamaa wapo hapo help desk wanakosa weledi kabisa..... Wakat mwngne huwa nahis ndo madhara ya kupeana kazi kwa kujuana..........hawana lugha nzur pia kuna mmoja huyo anavyoongea utafikir...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habr zenu wana jf. .naomben kufahamishwa majina ya waliomba mikopo kama yameshatoka, manake leo tarh 2 bado kimya na tarh 8 nikuripoti, msaada jamani,
0 Reactions
83 Replies
17K Views
niaje asee...hivi taratib za kununua vi2 ebay au amazon na kuweka adress za chuo ili bidhaa yako waifikishe hapo(e.g udsm,ardhi etc) ni salama?na unaweza ukaipata bidhaa yako kweli au ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom