Wadau wa jamvi hili, habari zenu?
Ninaomba msaada wa ufafanuzi wa hili tatizo langu la kimahesabu--mwenzenu sipo vizuri sana kwenye hesabu ila nina imani kuwa hapa kuna wadau wanaoweza kunipa...
udsm baada ya kuona wanatumia billions kuwalipa Ardhi university's Architects na quantity surveyors kudesign majengo na kufanya quantity estimation ya ujenzivwa majengo yao wameamua kuanzisha hizi...
HELLO! GUYS
Dada yangu amemaliza secondary 2005 na kwenda A level, baada ya hapo alisoma cheti(2010) cha account katika chuoo cha IAA Arusha,, since hapo akusoma tena kitu kingine, now it's...
Katika hali isiyo ya kawaida polisi wametanda chuo kikuu cha SEKOMU, kuzuia wanafunzi wa mwaka wa tatu ambao wanadai pesa yao ya tahadhari(caution money) pesa ambayo chuo kinadai kukata kiasi...
Call for Applications for Admission into Higher Education Institutions through the Central Admission System (CAS) for academic year 2015/2016
Tanzania Commission for Universities (TCU) in...
Samahanini wadau kwa yoyote ambae amesoma English course pale British council. Je ufanisi wao upoje? Sawa najua kuelewa ni juhudi za mwanafunzi lakin na walimu wanachangia, any idea ya hapo nataka...
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili
Naomba msaada wa maswali ya Entrepreneurship kutoka chuo tajwa hapo juu kwenye mada, yawe ya Final exams or Internal test/Seminar questions, nina shida nayo...
jaman wanajamv habarn na polen na majukum. Naomba kujuzwa kuhusu kdato cha sita wa mwaka huu ambao matokeo yao yametoka iv punde kwa wale wanaotaka kujiunga na ualimu
wa diploma au stashahada...
Samahani wadau kwa yeyote anaeifahamu shule hii, je wanatoa michepuo ya sayansi PCM,CBG kwa kidato cha tano?
Nimejaribu kuangalia ktk mtandao sioni hiyo shule kwa mwaka ktk matokeo ya mwaka huu S...
Habari za wakati wana jamii forrum.............
ST. JOSEPH arusha campus ni moja ya vyuo vikuu. Kiko nje kdg ya jiji la arusha. Chuo kinatoa degree ya education {science]. Kilifunguliwa rasmi...
Habari yenu,taarifa za kuaminika kutoka bodi ya mikopo ni KWAMBA HAKUTAKUWA NA MDA WA KUOMBA MKOPO TENA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA DIPLOMA YA UALIMU UDOM,WAKATI TANGAZO LA KUOMBA MAFUNZO...
Kuna ndugu yetu ni mwalimu wa shule ya msingi wa ngazi ya cheti,
Mwaka huu kaapply Diploma in Primary Education.
Vipi matokeo ya kuchaguliwa yameshatoka wakuu?
Tusaidiane.
Habari za jioni wadau wa elimu?
Niwapongezeni wote mlioweza kupata nafasi za kujiunga na vidato vya juu vya elimu ya Tanzania.
Mkononi hapa nina scientific calculators 2, fx 991, nimezitumia kwa...
Niko hapa kwa ajili ya kuongelea kidogo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph, labda wadau humu ndani mnaweza kutoa majibu kwa maswali ya wanachuo wengi wa chuo hicho hasa cha Arusha.
Ni takriban miaka...
Wadau naomba mnisaidie kujua maana hasa ya DISTINCTION, CREDIT na PASS. Nina mdogo wangu amemaliza Ualimu na tunajaribu kupata maana ya ufaulu uliowekwa imekuwa ni shiiiida tu.
Matokeo ya...
Wandungu naomba kujua hili.. Kama mtu ulishawahi kupewa mkopo wa elimu ya juu na bodi ya mikopo na sasa unataka kusoma degree nyingine tofauti Je unaweza kuomba mkopo bodi ya mkopo na ukapewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.