Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

habare zenu wakubwa heshima kwenu mm ni kijana ambae niko certificate course ya accountancy ktk chuo cha utumishi wa umma nahitaji kufahamishwa kuhusu ni GPA gn nzuri ambayo mwanafunzi anatakiwa...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Rejea kichwa cha habari kuna watu wanachanganya mitaan wanasema unapomaliza Higher Diploma ya Masscommunication unasoma Degree miaka 2,mwingine anasema mengine naomba ukweli halisi wandugu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama heading inavyojieleza tafadhali nipm tuongee issue ni muhimu sana nahitaji msaada wa haraka
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuwa kilimo ndo sekta inayotoa ajira nying hapa nchin, je kuna umuhimu wa wizara na taasisi za elimu kutengeneza mtaara ambao utatumika kuanzia shule za msing ili watanzania waweze kupata ujuz...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu,mimi ni mhitimu wa diploma ya sheria niko mkoa wa lindi , napenda kupewa taarifa kwa mwenyekujua mahara zilipo ofisi za chuo kikuu huria kwa mkoa wa lindi...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Elim Ya Bongo Imekuwa Ikibadilishwa Mifumo Ya Usahihishaji Upangaji Na Matokeo Pasi Na Kuboresha Miundombinu Yakielimu,uchache Wa Walimu,madara Mabov Na Uhaba Wa Vifaa Havipatiwi Suluhisho,je...
0 Reactions
1 Replies
929 Views
JE WIZARA YA ELIMU, TUME YA VYUO VIKUU NA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU JE MUNAJUA KWAMBA UNIVERSITY OF BAGAMOYO NI CHUO KIKUU CHA HOVYO KABISA? Chuo hiki hakina hadhi na sifa ya kuwa na wala...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habar wanajf,kwa mwenye kukifaham chuotajwa hapo juu incase of quality education,nacte registration na mengneyo kama hayo anijuze tafadhali,natanguliza shukran.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeskia kuna baadhi ya waalim waloajiriwa mwaka huu wamerudi makwao kwa kukosekana fedha za kujikimu katika wilaya walikopangwa. Lengo la serikali kwa vjana hao lilikuwa ni nini? Je ni sahihi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
ni binti yangu mwenye umri wa miaka 7,anasoma darasa la pili ktk shule moja ya watoto akina sie "kajamba nani" (watu wa kipato cha chini). pichani ni mtihani wake wa somo la sayansi alio ufanya...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
WADAU NAOMBA KUJUA KAMA KUNA KITU kAMA HICHO.. YANI KUTUMIA Bsc.EDUCATION DEGREE AS EQUIVALENT QUALIFICATION KWA UDAKTAR
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mkuu wa shule moja mkoa wa Pwani wilaya ya Bagamoyo kwa muda mrefu amekua akishindwa kumchukulia hatua za kinidhamu mwalimu mmoja wa kiume mwenye tabia za kuwadhalilisha wanafunzi wa kiume kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hello WanaJF nimeingia Websites ya Nacte Ila naona guide book ya bachelor degree hainiwezeshi niidownload kama Kuna Mtu amefanikiwa kuipata Au kuidownload. Naomba anisaidie
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasalam wanajf. mimi nimemaliza form six 2011 nilipata Economics-D,Geography-E,na A/maths-E,Gs-S.Div III-14.je naweza kupata kusoma ardhi university nikapata mkopo? Naombeni mnisaidie...
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Jamani naomba mnijuze karika guide book ya nacte 2014 katika vyuo katika sehemu ya fees kuna baadhi ya vyuo pamejazw lakini vengine hapaja jazwa nauliza vile ambavyo havija jazwa ndo vina loan...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Goi Peace Foundation’s International Essay Contest of Prize 100,000 Yen for Young People: Celebrating the 70th Anniversary of UNESCO Deadline: 15 June 2015 The Goi Peace Foundation is currently...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Naomba kuuliza mda Wa kuanza kwa udahili wa vyuo vikuu kwa mwaka 2015/2016 hasa kwa walio na diploma ya ualimu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wanajf,nadhan leo ndio ilikuw siku ya utatuzi wa mgomo wa wanafunz kada za afya, hivyo kw mwenye taarifa naomba atujuze,natanguliza shukran.
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Wadau mimi nimemaliza form 6 mwaka 2011 nimesoma EGM nikapata economics-D,geography-E,A/maths-E,na G/s-S.sasa je naweza kusoma ardhi university nikapata mkopo?
0 Reactions
2 Replies
682 Views
pugu ni miongoni mwa shule zilizo potea sasa zinarudi kwenye chat we unaonaje
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom