Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kujua tofauti ya hizi njia hizi za kukusanya gas >Upward displacement of air >downward displacement of water
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninafundisha chuo somo fulani na huwa nakwenda vyuo vingine kufundisha part-time, ila kwa kweli visa vya wanafunzi wa kike vimenilegeza kabisa! Yaani utakuta unatoa lecture lakini unakuta mtoto wa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau nimetafuta kazi mpaka nimechoka sasa, naombeni mnipe mwanga kidgo kuhusu post graduate ya Ualimu. vipi hawa huwa wanapangiwa kama walimu wengine? kuna waliopangiwa kwa mwaka huu wa 2015? ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Akijibu hoja za wabunge Waziri Wa nchi ofisi ya Rais Utumishi Wa Umma Mhe. Selina Kombani amesema Serikali inampango wakuajiri idadi hiyo ya walimu mwaka ujao Wa fedha. Hivyo nitumie fursa hii...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania niliemaliza kidato cha sita mwaka huu (2015) combination ya pcb katika maisha yangu ndoto zangu kubwa ni kwenda kusomea nje ya nchi ikibidi hata kuish huko...tatizo ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Gateway to Science Group is an academic group founded by 8 students from the University of Dar es salaam with the core aim of authoring the science and mathematics books for high school students...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nataka nikasome diploma ya nersing na badae nibadilishe kozi nichukue degree ya kozi kama MD,Lab technology etc. nikifika university. Je inawezekana wakuu.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nimemaliza kidato cha nne, nina C-History,B-Kiswahili na D tatu za masomo megine, nilipata kwa double seating, nahitaji kujiunga na chuo cha mafunzo ya ualimu, je naweza kupata vyuo vya serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kiwango cha chini cha GPA ya Diploma ya Ualimu ya kujiunga na University ni GPA ya ngapi? Na je,kama haujaifikia( hiyo GPA) nini cha kufanya ili ujiunge degree?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
waheshimiwa habari zenu? nimekuwa nikifikiri sana kuhusu jambo moja kuhusu elimu ya TANZANIA nikaona ni vyema ni washirikishe "kiukweli elm ya tanzania inashuka kutokana na asilimia kubwa ya vjana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habari wana jamii forum.....mimi ni binti niliyemaliza chuo mwaka jana....na nikahitimu masomi yangu ya stashahada ya computer science na kupata matokeo mazuri tuu ya first class..... Mpaka sasa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni tuelezeni opportunities za kupata scholarships na taratibu zake za kuzitafuta na kuzishughulikia!!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi nikijana niliye hitimu kidato cha NNE mwaka 2014nakupata ufaulu wa GPA 0.6 je naweza nikapata Chuo chaualimu nahitaji msaada wenu wana JF
1 Reactions
4 Replies
994 Views
Machali saf sana machal anaizungumzia cwt jinsi inavowazingua walimu...... walimu wanalazimishwa kuwa wanachama wa cwt na wanakatwa pesa.......wanaotaka kuanzisha chama kipya bado msajili wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu ... Kuna huyu ndugu yangu anapenda kusoma comb ya HGK sasa msaada ninaohitaj ni kujua je anaweza kusomea kitu gan chuoni ambacho kitakuwa na ajira yenye malipo mazuri kwa...
0 Reactions
10 Replies
22K Views
Wakuu habari zenu ushauri kuhusu GEOMATICS and MINING ENGINEERING ipi inafaa kwa sasa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natanguliza shukrani,naombeni ushauri,mbinu na njia nzuri za kupambana na PCM kwani naenda kuanza masomo ya 4m5 apo mwezi wa 6
0 Reactions
51 Replies
6K Views
bado naomba kubadilishana vituo, njoo sengerema nije magu mwalimu msingi, ofa ipo kwa msaada huo. mawasiliano 0765195529/0789333382.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nimezaliwa na kukulia mwambao wa ziwa nyasa. Leo nimetafakari sana mstakabali wa profesheno niliyonayo, hakika haitasaidia taifa langu hata kidogo. Hapa ninawaza, kwa kuwa shuguli kuu ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom