Habarini wadau,
Kuna hilo swali hapo juu naomba wadau kwa uelewa wenu mnisaidie kujibu. Kifupi ni kuwa "utatembea umbali gani kutoka mashariki mpaka magharibi mwa dunia?
Ndugu zangu, jana niliona wanafunzi wa chuo kikuu cha St. Joseph wamegoma na kufukuzwa chuo, leo hii wanafunzi wa UDSM nao wamegoma...!
Hivi hasa tatizo liko wapi? Na kwanini hili suala la mikopo...
Hali ya taharuki I metanda tenda Leo katika viunga vya UDOM kitivo cha walimu wakiendeleza maandamano ya kudai kupewa pesa ya chakula na malazi. polisi wamemwagwa kama Karanga lakin hawajarusha...
Waalimu wapya wengi hawajapewa hela ya kujikimu kuna uwezekano mkubwa wa watu kutopata mshahara mwezi huu.
Na wengi na wameambiwa warudi wa7 shule zitakapofunguliwa. Na kuna tts kua mshahara...
UDOM (COed) hali ni tete tangu jana maana wanafunzi wamegoma kuingia madarasani wakidai pesa za kujikimu, tatizo la Bima za afya(100,000 kila mwaka) pamoja na ufisadi wa pesa za UDOSO uliofanywa...
kama nilivyo eleza hapo awali mchango wenu ni muhimu! kinacho hitajika ni ushauri tu kama kuna uwezekano wakuaply ualimu zen uka aply kozi za afya! santeni
Vituo hivi vilianzishwa kwa lengo la kuboresha ufundishaji na ujifunzaji katika shule zetu. Pia viliwajibika kusaidia jamii iliyo karibu kwa kujiendeleza kitaaluma (QT, CSEE, ACSEE n.k.) na...
Hebu tujadili pengo lililopo kati ya mitaala na ufundishaji halisi. Mwanangu yuko la pili. Daftari lake la stadi za kazi limejaa notes juu ya namna ya kutengeneza vitu mbalimbali. Leo kasoma somo...
Mgomo wa udsm jana umetufundisha jinsi nchi hii bila mgomo huwezi kupata haki yako ya msingi maana tulishuhudia serikali ikiwambia wanafunzi kuwa haina fedha lakini baada...
ADVANCED MICROSOFT EXCEL TRAINING FOR PROFESSIONALS:-
Do you aspire to become more Competitive in your work? The Global Business Consulting (GBC) is a solution to your career aspiration in terms...
Nawasalimu ndugu zangu nkiamini ni wazima wa Afya,Mimi ni mwanafunzi wa Mwaka wa kwanza chuoni ni nimekumbana na hii hali ya kwenda kujitaftutia NOTES pekee yako,sasa Ma Leturer wamekuwa wakitupa...
Wenye kuona huruma na wawasaidie wanafunzi kufikisha malalamiko yao eneo husika maana naona serikali iko kimya na iko busy dodoma kutafuta miaka mingine kumi ya kula.
Wadau kuna ndugu yangu alikuwa anasoma chuo, kwa bahati mbaya alidiscore semister ya kwanza. Kutokana na kugazibika hakutoa taarifa bodi ya mikopo kuwa amediscore ili wasitishe mkopo.
Naomba...
Habari!
Ninaomba ushauri je masters gani nikisoma itaniwezesha kujiajiri na kuajiriwa.Msaada wenu ni muhimu na Mungu awabariki,nina B.A.Education.
Asanteni!
Jamani naomba wanajamvi mwenye uwezo wa kufikisha hili maala uika alifikishe maana hali ni mbaya sana vyuoni watu wanalala bila kula na wengine mlo mmoja kisa pesa hakuna.
Na hii imepelekea badhi...
Kassim Majaliwa, Deputy Minister Prime Minister's Office Regional Administration and Local Governments responsible for Education
The government has confirmed plans to centralise capitation grant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.