Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani wanajukwaa la elimu nimesikia kuwa wanachuo wa ngazi ya cheti na ngazi ya stashahada mwaka wa pili wiki ijao watakuwa na BTP ya siku 14 lakini nashangaa posho zao zinatofautiana kila chuo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anayejua jinsi ya kuomba mkopo kupitia M-PESA anielekeze,maana reference number nikiingiza 1,inakataa.so nielekezeni pls
0 Reactions
10 Replies
6K Views
habari wakuu,nani anaweza akanisaidia na SOLUTION MANUAL za kitabu cha MECHANICS OF SOLIDS by EGOR POPOV (1st Edition) au kitabu MECHANICS OF SOLIDS (2nd Edition) by same author not the solution...
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Msaada wana Jamii kwa anae jua soko LA ajira kwa mtu mwenye masters ya Public health ikoje??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, nimesikia kuwa wadaiwa sugu vyuo vikuu kutopewa hati za kusafiria nje ya nchi, kutoka "power breakfast" clouds fm, kwenye uchambuzi wa magazeti Kiukweli binafsi nimeshtuka sana. Sidhani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
vipi hali wakubwa : msaada nilikua naombwa kujuzwa kwamba unaweza Ku upgrade kutoka kwenye diploma in education kwenda advanced crnical officer??????
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Habar Wakuu!! Mimi Ni Mhitim Wa Kidato Cha Sita Mwaka 2014,na Kupata Ufaulu Wa Div Three Ya Point 13. Ph D,che C,bio C Na Ndoto Zangu N Kusoma Kozi Tajwa Apo Juu. Naomba Ushaur:ni Vyuo Gan...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habar wanajf, nataka nisome diploma ya clinical medicine kwenye chuo kizur kilichopo DSM,kwa mwenye kukifaham naomba anijuze.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Poleni sana walimu wenzangu kwa maumivu ya akili. Ila nachowaomba msitumie lugha chafu kwajir ya usalama wako kutokana na sheria mpya inayotaka kuanza Mawazo yangu ninavojua taarifa kuhusu ajira...
1 Reactions
52 Replies
9K Views
Napenda kuuliza RPL inajumlisha hata wenye certificate na diploma pass? na je ukifaulu mtihani bado wanaweza kukuacha kwa ufinyu wa nafasi au nilazima uchukuliwe?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivii jamanii kila chuo cha government diploma wanataka capacity ya watu 25 kwa vyuo vyenye competition kama kibaha jee unauhakika utapata nafasi bila kufuatilia? Nachowashaurii walioaply afya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilimalza six 2007 na kusoma dip ya sec education, je nikituma maombi nitapata mkopo? nategemea nisome education, ila nilisoma HGE advance.
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Kwa yeyote anaehitaji mwalimu wa PHYSICS,mwenye uzoefu wa kufundisha somo hilo kwa vipind tofauti tofauti ndani ya miaka miwili,ana diploma ya UWALIMU(PHYSICS & MATHS),Atapatikana Dar kuanzia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kaka yangu amemaliza form 6 2009 na kupata matokeo phy-S,Chem-D na advance math E,anataka ku apply mwaka huu wa masomo,hajawahi kuchukua mkopo bodi ya mikopo lakini bodi hawatoi mikopo kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tafadhali wataalamu wa IT,anayeijua software ya Editing tafadhalia ani juze kupitia:boscohaule@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Uingizwaji wa wanafunzi wasio na sifa kusoma, katika hili chuo hiki kimekuwa kikichukua wanafunzi wasio na sifa za kujiunga kimasomo totauti na taratibu za wizara, kwa mfano wanafunzi wanaoingia...
2 Reactions
25 Replies
10K Views
Habari Wana JF Naombeni Msaada\ushauri Kuhusu Faculty Ya Political science and public administration ya hapo UDSM.Ninasoma HGL naingia form 6 mwaka huu,napenda sana kusoma hyo facult yan malengo...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
mpaka sasa shule uliyopangwa kuna walimu wangapi ? N.B=ni vyema ukataja na shule yenyewe!
0 Reactions
0 Replies
884 Views
wadau wale walioomba mikopo heslb, majina ya watu waliokosea baadhi ya vitu yametoka na mwisho wa marekebisho ni tarehe 10 mwezi wa tisa tembelea website ya heslb kuangalia jina lako kama lipo na...
1 Reactions
17 Replies
9K Views
WanaJF hivi St.Joseph College of Engineering ikoje kwa sasa
0 Reactions
5 Replies
905 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…