Kuhusu kujaza fomu za mikopo ya elimu ya juu mwaka huu inatakiwa kila mwombaji kuwa na kitambulisho cha urai au pass ya kusafiria au kitambulisho cha kupigia kura. Lakini wengi wao hawana...
Samahani wakuu. Nilikuwa nahitaji msaada .hv kama uliomba loan kwa mara ya kwanza ukakosa na kuappeal vlevle je ukitaks kuomba kwa mwaka wa pili je inawezekana kuomba kama New...
Kuna siku moja nilipitia kitabu kimoja cha shule ya msingi nafikiri kilikuwa darasa la vii au vi,nikaona katika kupepesa macho nikakutana na sentensi inayoelezea mwaka ambao South Africa walipata...
Wadau nina Diploma ya Journalism naweza kusoma degree gani nchini yenye fursa nzuri ya ajira au kujiajiri?
Jaman tusaidiane nataka nipate mwanga nijue pakuanzia
Ndugu wanajamvi naomba kuuliza katka ajira mpya hii hata sisi tuliopata supp tumo kwenye list ya majina mapya je tufanyeje tukaripot na sisi na je hatutakutana na vikwazo hko halmshaur?
Msaada...
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limesema kuwa wanafunzi wanaofanya mtihani wa kidato cha sita na ualimu, walifanya mtihani huo jana licha ya kuwapo kwa baadhi ya waliochelewa kufika katika...
Hivi najiuliza huu utaratibu wa kila mwalimu kuingia darasani na kutangaza kuwa lazima ununue kitabu chake kama hununui yeye ndo ana degree yako upo UDOM tu au vyuo vyote Tanzania?
Nna je haki...
kiukweli hizi website za vyuo mnatutesa sana wenye simu za kawaida na tusokuwa na pc kwa maana kila tangazo la maana kama ada, taratibu za kujiunga na chuo, sheria vyote hivi vipo katika mfumo wa...
Nimekuwa katika idara ya elimu kwa miaka kadhaa kama mwalimu,lakini daima siku zote naamini mwenye taaluma zaidi ya moja anajitengenezea vizuri mazingira ya kufanikiwa kimaisha kiurahisi zaidi...
Habari zenu wakuu na heri ya sikukuu ya wafanyakaz
Naomba niulize kwenye listi za walimu wapya waliopangiwa vituo vya kaz mwez uliopita,
swali langu ni kuwa, mbona sijaona majina ya walimu...