Ni dhahiri kwamba wanafunzi walio wengi mijini ambako ndiko kuliko na shule/taasisi nyingi za elimu. Imekuwa ni bahati mbaya saana kwamba mgomo wa madereva umekuja kipindi kibaya sana ambapo...
Yupi anatakiwa kusoma ordinary diploma, na nani anatakiwa kusoma advanced diploma,
NACTE wanasema kwa waliomaliza form 4 wakapata C ya biology na C ya chemistry watasoma diploma lakini wenye Ds...
Katika usiku wa kuamkia leo Mkuu wa shule za LAKE SCHOOLS zilizopo nje kidogo ya mji wa Singida Mwl Makala amefariki dunia, Taarifa kamili za sababu ya kifo chake bado hazijafahamika.Mkuu huyo...
Kwa yeyote anayehusika naomba alichukue hili walimu wapya watachelewa kuripoti kutokana na mgomo wa mabasi. Mizunguko ni mingi kukusanya vyeti nakadharika.
Hilaw!bodi ya elimu ya juu imeanzisha utaratibu wa kujisajili online wale wanaomba mkopo kwa mara ya kwanza na wale wanaoendelea kutumia website ya olas.heslb.go.tz, pia kwa mujibu wa tangazo...
Wakuu wa vyuo husika badala ya kutuma majina ya walioclear sup zao mwaka jana wao wakatuma majina ya wenye sup wanaotakiwa kuclear mwaka huu Tamisemi wanashughulikia hilo (hadi tarehe...
Wadau wahasibu na hususan members wa NBAA,
Africa Congress of Accountants itafanyika Mauritius tarehe 12 -14 May 2015
Hujachelewa hebu google ACOA 2015 uingie kwenye website ya tukio ufanye...
habari walimu!walimu naomba huu uwe uzi maalumu kuhusu somo la Geography kuanzia form one hadi six.walimu naomba tujuzane kuhusu mbinu bora za kufundisha hili somo,ni topic zipi za kuanza...
mweny uzoef au taarif za uhakika juu ya hili atujuze sis ambao tunategemea ajira hapo mwakn.
Au ndo kusema walim walopelekwa vijijn wameondoa tatz la uhaba wa walimu??
pliz mweny jbu la uhakika...
Habari wanajamii
Kuna tatizo limemkuta dada yetu yuko mwaka wa pili anasoma pharmacy ...wakat anaingia mwaka wa pili semister ya kwanza jina lake halikuja katika loan so hakupata na alivofatilia...
Kwa wanaohitaji kupatiwa huduma hizi: Academic Research Proposals, Writing Dissertations na Consultancy services in legal, accounting, auditing na taxation issues watutafute kupitia 0719077297 au...
Wadau wa UDOM hasa wale wa kitivo cha elimu (COED) kwa taarifa zilizopo ni kuwa lile kosa La waziri wa elimu kukamatwa na kibuti kwenye mtihani wa media wakati tunafanya mitihan ya UE semista ya...
daaaah.. now nko ubungo naangalia n namna gani naweza fika kituo Arusha dc.. lakin mpaka sasa hakuna basi hata moja lililoruhusiwa hapa ubungo stendi... daaaah jamani hii serikali yetu mbona haiwi...
Hii tabia binafsi siipendi hata kidogo kwani hainatija. Mfano kuandika sn badala ya sana,xkul badala school na vifupisho vingine vingi, na wewe utaongezea.
Kama msomi;uandishi huo huashiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.