Walimu mkumbuke kwamba maisha ni sehemu yoyote ile, hivyo asikudanganye mtu kwamba unapokwenda ni kubaya au kuzuri maisha sehemu yoyote ile cha kuzingatia ni kwamba fika sehemu husika angalia...
Habari wapendawa,
leo tumepewa taarifa rasmi kuwa mwenge utafika katka wilaya yet ya buhigwe kigoma july 2015.hvyo basi kila mwl. anatakiwa kutoa tsh10,000 kwa ajili ya mchango wa mwenge,
hlo ni...
Ukisoma mwongozo mpya uliotolewa Leo na bodi ya mikopo kwa wale wanaopaswa kutuma maombi ya mikopo kwa elimu ya juu na wale wa diploma maalum wameandika kuwa watatoa Tsh 8500//= kwa siku kama...
Kumekuwa na shauku kubwa sana ya Walimu kupangiwa vituo vya kazi na serikali na hii imetokana na danadana za serikali yetu kutoa taarifa za kujikanganya mara kwa mara. Kwani imefikia hatua kila...
Habari zenu wakuu!! mimi nategemea kufanya mtihani wa kidato cha 6 mwaka huu, nimesoma mchepuo wa sanaa {arts} na malengo yangu nikuwa mwalim lakin leo tumetangaziwa na mkuu wa shule kuwa kuna...
Nimemaliza kidato cha nne 2012 na kupata alama D katika masomo saba ambayo ni history, geograph, kiswahili, civics, commerce, bookkeeping, biology.
Nni chuo kipi naweza pata nafasi kozi ipi...
Heri Wakuu,
naomba muongozo kuhusu kusajili hiyo Center,
nina madarasa 2 na ofisi 1.
Nahitaji wahitimu wapate cheti kitakachomwezesha kupata kazi hata serikalin, au kuendelea na masomo ya...
"Ajira za ualimu mwisho mwaka huu, labda wa sayansi"...Naam, ni uvumi ambao umeenea sana katika maeneo mbalimbali hasa vyuoni na kwenye social media mbalimbali. Ni nyepesi nyepesi ambazo sio tu...
samahan naomba unijuze jinsi ya kumjibu huyu dogo make nahisi nimeshindwa tayari ktk ....
a) what are the procedures on how to cite work frm student dissertation accessed electronically, give two...
Second draft tayari imetoka usiku huu, tembelea Tovuti Rasmi ya TAMISEMI ili kupata orodha kamili
Baada ya TAMISEMI kusitisha ajira mpya za walimu ili kufanya marekebisho kama walivyotangaza...
TANGAZO
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE
ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
A: Orodha ya...
wale wengine tuendelele kuvuta subira kutokana na kusitishwa kwa orodha yetu. Tafadhali msiwe na haraka hadi marekebirho yakamilike. Huu ni mtazamo wa wangu kwa sababu tamisemi haijaweka wazi...
Samahani wadau wa humu.
Aliye na idea juu ya kuahirisha mwaka wa masomo kwa mwaka mmoja, nini kifanyike na ni vitu gani vinahitajika?
Nawasilisha kwenu, shukrani!
Jamani eee,, kunajamaa zangu wanaishi Majengo Dodoma na Jana walienda pale Tamisemi kuuliza kama waliokwisha ona ajira na vtuo vyao waende tar. mosi kuripoti au wasiende. Jibu walilopewa ni hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.