Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kama kuna mwalimu alieenda Tamisemi hebu tupeni feedback ya huko hasa wale walioclear supp zao watapata ajira au ni au wafanyeje ili kupata ajira zao. Nawasilisha Karibuni
0 Reactions
37 Replies
6K Views
habar wakuu. wizara ya kilimo kupitia website yao www.kilimo.go.tz wametangaza nafasi za masomo kwa ngazi ya cheti na diploma kwa general agriculture vyuo mbalimbali vya kilimo vya serikali
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kwa kutumia cheti cha foundation open naweza kujiunga na degree chuo gani tofauti na open
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Jaman naomba mwenyekufaham yalipo majina ya waliochaguliwa kwenye maabala za shule za sec au vyuo anijuze maana natafuta kla sehem lkn siyaon
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo nimekutana na walimu tarajali wa5 wakasema hawajapangiwa vituo. Ni kwa nini Diploma wengi wameachwa na hasa waliosapua wote. Wanadai wataajiriwa wa7.Tatizo ni nini wadau.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba msaada wakujua kuwa chuo kinatambulika na TCU au la. Chuo ni cha India kinaitwa Assam Don Bosco University. Anayejua please help. Thanks in advance.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Morning wana JF naomba mnisaidie shule gani nzuri ya wasichana yenye mchepuo combination ya ECA kwani nina mdogo wangu kamaliza form four nataka kujua ana GPA 1.7
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Takribani wanafunzi 15 tulihitimu shahada hii (PHYSICAL EDUCATION) inayotolewa chuo kikuu dar es salaam pekee kwa hapa nchini. Inashangaza kwa TAMISEMI kutoajiri wakufunzi wa vyuo vya ualimu kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nisaidieni.kuna madhara yoyote ambayo MTU anaweza kupata atakapo kiuka kauli ya kwenda jkt.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
kwa yule aliyeweza kudowload ajira za walimu zilizoondolewa kwenye website anitumie kwenye email johnmguli@rocketmail.com
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Ninajiuliza swali hilo hapo juu kwani wizara ya elimu imesitisha ajira za wakufunzi? Kama imesitisha kwanini? je vyuo vya serikali walivyo vipendekeza kuto DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wakuu sheria za elimu zinasemaje kuhusu hili? Hivi ni haki kwa wakuu wa vyuo/shule kuwazuia wanafunzi kufanya mitihani ya taifa inayotolewa na baraza la mitihani la tanzania(necta)? Kisa mtoto...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Tunafanya Admission ya kimasomo nchn India kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katka chuo kikuu Bangalore, kwa course za arts, science na biashara, kwa ngazi ya diploma, degree na masters. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
A Texas A&M University Galveston professor has failed his entire management class this semester for lacking "the competence and/or desire to do the quality work necessary to pass the course,"...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni mwezi wa pili baada ya matokeo ya kidato cha nne CSEE 2014 kutoka. NECTA wanasubiri nini kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa ili wazazi wajiandae.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamani naomba kujua, hivi baada ya majina ya waalimu kuondolewa na tangazo la kusitisha ajira mpya, je kwa sisi tuliokwishaona halmashauri zetu tunaruhusiwa kwenda kuripoti tarehe moja? Maana...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Ajira zetu vipi tena tumekubali kwenda vijijini kulijega taifa, tuko radhi kutumikia serikali popote palejaman, mbona mmetuonyesha kidogo mmeondoa marekiso hayo bado? Tumejipangakufanya kazi so...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar members...naomba mtu ambaye anazifahamu theories za trade union anitajie kwa majina na waandish wa hzo theories pia itakuwa poa
0 Reactions
0 Replies
701 Views
I am looking for someone who is studying or has completed a masters degree in microbiology and immunology at MUHAS. I just wanna know more about the courses and work load. Any help rendered will...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Husika na kichwa hapo juu, sababu kuna wengine wamekwisha anza safari.
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Back
Top Bottom