Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna dogo anasoma kupitia hii system ya QT na PC hii imekaaje wadau?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi.., Poleni na kazi na mhangaiko ya kila siku. Kama nilivyoonesha kwenye heading ya huu uzi, naomba kama unajua link au kitabu nitakapo pata notes nzuri za Advanced Mathematics...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Wadau, salaam! Nimekutana na karatasi ya Maswali ya Mtihani uliopita mwaka wa 3 (Final Year) pale UDSM una maswali ya multiple choice kama 20 hivi na kila swali lina marks 1, hivyo mtu akipata...
4 Reactions
151 Replies
16K Views
Wadau wa elimu, fungua itv mh. Kawambwa, waziri wa elimu anahojiwa (recorded) ili uweze kupima ubora au mapungufu ya sera ya elimu iliyo zinduliwa ijumaa na mh JK
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Serikali inaangalia iwezekano wa kuzipa ruzuku shule binafsi ili ziweze kujiendesha vizuri huku akizimwagia sifa shule za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kwa anayeweza anisaidie kuhusu 'principle of self-Determination' ilivyo saidia katika vuguvugu la kudai uhuru barani Afrika.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo ni mahafali ya 61 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari pugu wanajiandaa kuhitimu kwa kufanya mtihani wao wa taifa November 3,2014
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Jamani naomba mnieleweshe hizi nafsi za usaili zilizotolewa na NACTE ni zile zinazowahusisha wanaotarajia kujiunga na vyuo mwezi wa Tisa kupitia TCU na bodi ya mikopo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimemaliza degree B.A in ed with geography mwaka jana. ila GPA yangu ni 3.22 nataka kuchukua master distance learning. sasa nadhani itashindikana kuendelea na ualimu kutokana na GPA below...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Wadau,kuna taarfa kua nacte wamekaribsha maombi ya mafunzo ya ualimu mwaka 2015/2016..sasa kama kuna mtu mwenye taarifa juu ya vigezo na masharti upate GPA ya ngapi kwa form 4 wa mwaka jana?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza kama vyuo vya kilimo ngazi ya diploma wametangaza nafasi za masomo.Ahsanten
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Habari zenu wakuu wa jf natumaini muwazima wa afya,,, Ombi langu kwenu ni kwa anayefahamu mawasiliano ya shule ya secondary ya Tegeta iliyopo dar es salaam na ile ya Ocean iliyopo mtwara au kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wahusika wa haki za wafanyakazi piteni katika shule hii. Watumishi wananyanyasika sana, si mwalimu wala mfanyakazi wa kawaida. Hawalipi wafanyakazi mishahara kwa muda muafaka. Mishahara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari WanaJF. Kwa kifupi Mimi niliacha chuo (nilikuwa nasoma Degree ya Eng flani) Sasa nilipatwa na matatizo nikaamua kuacha chuo yaani nilifanya Deregistration. Sasa nahitaji kurudi chuoni...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Mwenye namba ya simu ya shule ya wari anisaidie please usicomment vibaya nina shida na mkuu wa shule husika!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
samahani wadau nilitaka kujua utofauti kati ya clinical medicine na clinical officer. kwasababu vyuo vingi ukiseach for clinical officer but ukija kuangalia course za hicho chuo unakuta...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
  • Closed
Mwaka jana ajira hizi zilitoka tarehe 16 mwezi wa 3, na serikali kufanya jambo jema kwa kutoa tamko juu ya kuchelewa. Kwakuwa inaoneka wazi kuwa ajira hizi zimechelewa tena, tunaomba serikali...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
daaah ukweli mtupu,na maisha ya sasa kazi ipoooo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni coincidence flan vyuo hivi vinashabihiana kwa mengi sasa wakuu wake wanashare surnames? CBE kinaongozwa na prof Emanuel Mjema na IFM kinaongozwa na prof Gidion Mjema
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Salaam kwa wote. Matokeo makubwa naona kama kiini macho upande wa elimu. Hii inatokana na serikali kushindwa kuwepeleka walimu tarajali katika mafunzo kwa vitendo (BTP). Kingine kinachokumba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…