Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

nikatika tovuti ya nacte maombi ya ualimu..kwa ngazi ya diploma,advance diploma na degree yamefunguliwa rasmi kupitia mfumo wa CAS mnakarbishwa kuanza kutuma maombi yenu: chanzo cha...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Kwa wale waliokuwa wanaulizia majina ya appeals yamebandikwa kwa UDSM. Ila kama jina lako halipo ujue wamereject ombi lako.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nina ndugu yangu amemaliza mwaka uliopita (2014) form Iv na kupata alama zifuatazo History E Geography D Kiswahili B English C Civics C Biology C Basic...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Msaada wadau… special diploma itakuepo mwaka huu pale udom au ndo basi tena, mwenye taarfa nalo atujuzee!! karbuni…
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Millions of researchers, scholarly writers, students, and librarians use EndNote (patent pending) to search online bibliographic databases, organize their references, images and PDFs in any...
0 Reactions
18 Replies
797 Views
Hii ni aibu kubwa kwa serikali yetu ni ishara tosha wameshindwa kuendesha nchi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni mnijulishe n kwa namna gani unaaply kupitia nacte na college hucka kwa muda muafaka! mfano baaz ya vyuo vyenye diplma na certfcate vimeanza kupokea maombi akn nacte bdo ziii!. kwo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jana mheshimiwa Rais wa Tanzania alizindua Sera mpya ya Elimu ambapo kati ya mengi yaliyomo ndani ya sera hiyo ni kufutwa kwa mtihani wa Darasa la Saba na Elimu ya Msingi kuongezwa hadi Kidato cha...
2 Reactions
198 Replies
43K Views
Ningependa kujua hii fakat ipo vyuo gan vya serikali na ajira yake inahusika maeneo gan hasa kwa anayefahamu naomba anipe mwanga kidogo juu ya hii kozi mi nipo kidato cha 6 ningependa kuijua zaidi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuuliza,je ni chuo gani kizuri cha serikali kwa kutoa course za Diploma ya IT..kwa mwenye ufahamu anisaidie na ada zao zipoje.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
tafazal wanajukwa naomba mwenye kunxaidia namb za lake sec mwanza tujulxhne kupitia 0764424983
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanajukwaa....! Ningependa kufahamishwa juu ya maombi ya kujiunga na elimu ya juu nchini kupitia nacte na tcu...kwa wale wenye sifa equivalent I.e diploma au ftc wanaruhusiwa kuomba...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Jaman wana JFi tatizo langu nililo nalo vyeti vyangu vya form 4 vimetofautiana herufi ya katikati na cheti cha darasa la saba yaani baada ya kiunganishi M kuna N. Nifanyeje jamani nisaidieni wakuu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mnakaribishwa kama unahitaji ushauri kuhusu Elimu (kujiunga na Chuo hasa vyuo vya Ujerumani, South Africa & Botswana pamoja na POSTGRADUATE SCHOLARSHIPS kwa vyuo vya nje) kujiajiri au jinsi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jukwaa wenzangu wa JF, habarini za leo! Kama ambavyo tunajua nchi yetu ilivyokuwa ngumu, nimepigana kutafuta fursa za kimaisha na sasa niko katika mchakato wa kuomba chuo nje ya nchi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
natafuta elimu ya hii kitu (kwa kisasa). System zipi hutumika? Kwa aina ya stock kama mafuta, vinywaji,vyakula nakadhalika. Sehem gani kwa dar wakati wa jioni? Na kwa muda mfupi? Na gharama.? Wapi...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Ajira hawa wadogo zetu walimu zinatoka lini? Ukweli hakuna return ya investment wameganda nyumban tu! Tunashindwa kuwaingiza katika kazi za mikataba wakati wamejazishwa form za ajira ambozo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu zangu me no kijana ninae soma kidato cha sita nilikuwa naomba msaada wa kupata schoralship
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau naombeni kujua gharama za kusoma masters of education chuo Kikuu cha Dodoma!
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habarini wadau. Naomba kuuliza kama mtu una supplementary au carryover na ulitakiwa kumaliza chuo mwaka jana (degree) je unaweza kuajiliwa kwenye ajira mpya za walimu zijazo na halmashauri...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom