Ivi wana JF vipi kiasi cha pesa ya kujikimu anayotakiwa kupewa mwalimu mpya wa ngazi ya Degree anaporipot kazini,
na mahesabu yakoje hadi kupata jumla ya kiasi hicho?
Ni muhimu kujuzana ili...
Habarini za wakati huu, Tafadhali naomba msaada kujua vyuo vya ufamasia, miezi ya kuanza kwa admission za vyuo hivyo na gharama. Mini nimemaliza kidato cha nne mwaka huu na ninahitaji kujiunga na...
Heshima mbele wadau!
Naomba msaada ndugu zangu, Kuna mdogo wangu ana stashahada ya uuguzi(Diploma in nursing) anataka kusomea degree ya medicine(MD),Na matokeo yake F4 ni mazuri pamoja na...
dearest wadau, hivi eti kuna tofauti gani kati ya dissertation na thesis? Au zote sawa? I did my research pepa last yr ya chuo kikuu,sasa nashndwa niiweke kwenye category ya dissertation au...
Jamani Mimi ni mtumishi Wa halmashauri na mshahara wangu, pia nafanya Biashara amba inanilipa sana na kama nikiwekeza nguvu na muda wangu wote huko naamini in five years ,umasikini kwangu utakuwa...
Wadau nlsoma 1st degree UDSM SASA NATAKA NFANYE MBA SAUT UNIVERSITY SASA NAPATA SHAKA NA UBORA WA CHUO KUNA WATU WANASEMA M.A HAINA TATZO VYUO VYOTE HAVNA TABU N BORA.ILA 1st degree ndo mtu awe...
:help:
Wakuu naombeni mnisaidie clue ya life after kumaliza hapo hususani kuhusu ajira hasa kwa PGD ya Economic Diplomacy. Je ni kozi nzuri? Ajira zipo?
Natanguliza shukrani.
Habari wakuu, kama wewe ni mwalimu toka Masasi mjini na upo tayari kuja Mtwara mjini tafadhali nipigie tubadilishane vituo. Namba yangu ni 0716 149 747. Ahsanteni sana.
Habarini wakuu, naomba kwa anayefahamu kama University of Dar es Salaam ina offer masters za Earth Science field like Geophysics, Geochemistry nk.
Asanteni
Ni ukweli kuwa fedha zilishakuwa kwenye bajeti, je waalimu wapya wakipangiwa kuanza kazi mwezi wa tano fedha za kulipa mwez wa nne zinaenda wapi wakati teyari ziko kwenye bajeti?
nikatika tovuti ya nacte maombi ya ualimu..kwa ngazi ya diploma,advance diploma na degree yamefunguliwa rasmi kupitia mfumo wa CAS mnakarbishwa kuanza kutuma maombi yenu:
chanzo cha...
Naombeni ushauri wadau !
Nina cheti cha juu cha taaluma ya Ununuzi na Ugavi, yaani (CPSP), pia nina Stashahada ya Uzamili ya Ununuzi na Ugavi yaani PGDPLM. Nahitaji kufanya masters degree, tatizo...
Jamani naombeni msaada wa mawazo nina dogo wa kiume kamaliza form four halafu kapata zero sasa kwa akili yake hata nikisema a reseat sidhani kama atatoka sasa nifanyake wandugu naona kumuacha tu...