Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wale mliokua mnasema ratiba ya mtihan kidato cha sita 2015 imebadilika hii Ratiba kamili katika mfumo wa PDF ipo hapa:
0 Reactions
0 Replies
15K Views
Wakuu nahitaji msaada wa nafasi ya form one government school iwe Arusha au Moshi na iwe shule ya vipaji maalum boarding...kijana wangu Wa kiume kafaulu vizuri kwa jumla ya max 208 lakini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani, nina shida ya kupublish kitabu, kimeshaandikwa na kueditiwa, tatizo natafuta kampuni ya kuchapisha vitabu itakayofanya kwa bei ya chini kabisa, kama kuna mtu anayeyafahamu makampuni hayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
We are Professional in converting of pps to recommended size 4kb as per NECTA requirements.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa mwenye info zozote atujuze
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi nmemalza kidato cha6 PCB nakpat chem-B, biology-B,BAM-B,Physcs-D nlichagulw st.jose-songea nkasome BSEwithphysics nataka nihame xab ada kubw, walim hawako dip, chuo kam primary sasa natak...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu wanabodi Sisi kama WATANZANIA akili yetu imehamia kusomesha watoto wetu shule za private wengine wanaziita international. Mimi juzi nilikuwa benki kila mmoja niliona akiwa bize kujaza fomu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama mwalimu akaghairi kwenda aliko pangiwa kazi upya...je uamisho utakuwa batili kwa mwalimu mwingine aliye ripoti?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila wakati nikienda Tanzania kuna vijana waliomaliza shule wananiuliza wafanya nini ambacho ni future. Jibu langu kama unataka urahisi na kuweza kufanya kazi sehemu yeyote duniani jifunze...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Wanajamii naomba in a nutshell.sifa za good intoduction paragraphy kwa kumjulisha mtu anayejifunza aelewe
0 Reactions
0 Replies
715 Views
jaman naomben kuuliza wale walioomba ualimu mwez uliopita ambapo ded line ilikuwa dec 30 bdo hayajatoka na mi lin yanaweza kuwa tayr kama bdo mwenye fununu na uelewa atujuzeee jmniii!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanafunzi wa mwaka wa tatu college of education afariki dunia akiwa anaogelea kwenye swimming pool ya hotel moja hapa mjini Dodoma. Alikuwa akisherekea sikukuu ya X-Mass na marafiki. R.I.P Brother.
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Habare zenu mm ni kijana ambae npo chuo ngazi ya chet wakubwa heshima kwenu wadogo wenzangu mambo vp naombeni ukweli kuhusu hili eti unapomaliza diploma unapotaka kujiunga na bachelor unapotaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jamvi?!Naomba kujua kama inawezekana kubadiri kozi,nina jamaa yangu amesoma CERTIFICATE IN GENERAL AGRICULTURE, anataka kwenda DIPLOMA ila hataki kilimo anapenda MAENDELEO YA JAMII...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamvi ninapenda kulalamikia wizi unaofanywa na Tumaini University Arusha (Makumira). Ilikuwa hiv; mwaka jana kuna dogo alichaguliwa kuanza 1st year, bahati mbaya ni yatima, Mungu si Athumani...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Orodha hii ni ya vijana waliochaguliwa kujinga na kidato cha kwanza 2015 waliotokana na shule za msingi zilizoko katika wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaama, katika tovuti ya manispaa. Bofya...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Nahtaj kujiunga na chuo hiki ili nikachukue mining exprolation au mining engeneer,cjafanikiwa kukipata net hata niliposaka google. Naomba mwenye details anisaidie kama za point znazopekelewa hapo...
1 Reactions
10 Replies
14K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22, nimezaliwa Mwanza. Mama alifariki nikiwa na miaka 5 na baba yeye hata simjui maana niliye kuwa nimeambiwa kuwa ni baba nilipomfuata aliiataa na kusema mimi...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mods tafadhali naomba kama kuna uwezekano nayo tukawa tunaweza kuyapata humu...naamini kuna watu wanaweza wakawa na access nayo in advance walau tukawa wa kwanza kuyapata. Ni hilo tu
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Katika Mkoa wa Kagera wenye Halmashauri za Wilaya (8) jumla ya wanafunzi 49,804 waliandikishwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (Darasa la VII) mwaka 2010, kati ya hao walioandikishwa...
0 Reactions
3 Replies
145K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…