Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?, nipo Dar es Salaam nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada(ajue kusoma na...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kuna hili ambalo sikubaliani nalo labda sijui au ni kwa kutokuelewa labda ningepata wachangiaji nao wakachangia.Mtoto anafaulu darasa la saba anapata alama ya A masomo yote-Grade A. Na wengine...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Are you aspired to be a CPA (T)? Here is the answer, welcome to Aspire accounting firm. We offer Review classes for foundation, intermediate and final stage, Welcome all at Maktaba Primary...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu humu ndani, naomba mwenye majina ya waliochaguliwa ualimu mwaka 2012 pamoja na mwaka 2013 naomba ayaweke au hata akiweka link atakuwa amenisaida sana.Niwatakie jioni njema
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani naomba nifahamishwe kwa anayefahamu matokeo maombi ya chuo cha nishati na manidi lini?
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Siku ya kwanza kujoin UDSM akili iliniambia sasa upo kwenye center of educational excellence, chuo ambacho kimsingi uhitaji kutamka jina lake, we sema tu nipo chuo kikuu inatosha kumaanisha chuo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Motokeo ya form 4 2014 lini?na pia wataripoti shule lini!? kwani kuna wanaotaka kusoma kozi ya kompyuta miezi mitatu ila sasa wanapata wasiwasi kama mda utaruhusu ,nawasilisha wakuu ;.
0 Reactions
21 Replies
19K Views
Habari,Tafadhali naomba ushaur wenu,napenda kuwa mwandishi wa habari hapo baadae.Nilijiunga na Young Reporter Academy ya South London kupitha Online kama reporter wao kutoka tanzania.baada ya...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Habari ya kazi bandugu, naomba kuuliza kwaanayejua kituo kizuri kinachotoa review ya CPA kwa dar es salaam me natarajia kuanza final stage, naomba msaada wenu, kazi njema
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Zifuatazo ni sifa za mwalimu mpya 2014; 1.hana kitanda. 2.anatandika chini 3.ana sufuria mbili 4.anatumia kuni au mkaa kidogo kupikia 5. Hana meza 6. Hana viti. 7.ni mzigo...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Binafsi sijafurahishwa na sijui kitu gani kingine cha kufanya katika nafasi niliyonayo kama mwanafunzi kuzuia jambo hili kutokea tena zaidi ya kuandika hapa. Leo nimeshuhudia Lecturer wa hapa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba kufahamishwa umiliki wa hii college. Ni ya serikali au ni ya mtu/watu binafsi?. Naizungumzia college iliyopo kule UK ingawa ina matawi sehemu zingine kama Austarial n.k...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Habari wakuu, Nina ndugu ndio amewasili hivi jijini Dar hapa na yupo yupo tu. Sasa sipendi tu awepo awepo hapa nyumbani, nimeona nimtafutie kitu cha kufanya chenye manufaa nae. Hivyo nimeona...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
TANZANIA IMEANZA KUNG'AA KATIKA MEDANI YA ELIMU SHULE BORA AFRIKA BAADA YA SHULE MBILI KUWA BORA KATI YA 50 BORA. SHULE HIZO NI. 30. INTERNATIONALA SCHOOL MOSHI 34 INTERNATIONAL SCHOOL OF...
0 Reactions
71 Replies
19K Views
jmn wanajf ..kama mtu ni graduate BSC.ED anaweza kusoma PGD Ya MD ? au ni kozi gani nzuri ukiachana na education??
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanafm! mm ninamdogo wangu alimaliza degreevya ualimu na aliajiriwa sasa anataka kuchukua mastaz hiyo hiyo ya edction so ni coz gani achukue? but mbaya zaidi anambia hajui kama atakubaliwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Msaada kwa anae jua bum linatoka lini kwa waliofanya transfer """allocation ilishatoka tangia mwaka jana mwezi wa 11 kabla first year hawajapata bum la kwanza ila mpaka saiv wamepata la pili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilianza kazi 2008 na 2011 niliondoka kusoma bila ruhusa. Nimemaliza Bachellor mwaka jana na niliripoti kituoni tangu mwezi wa8 na mshahara nikiwa masomoni ulifutwa. TSD walinipa shitaka la utoro...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Hapa juzi kati, nilidownload document iliyotolewa na TCU inayoorodhesha vyuo vya Tanzania na degree zinazotolewa na vyuo hivyo. Nilichoshangaa ni kwamba ndani ya document, LLB ya UDSM ni ya miaka...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Katika hotuba ya kufunga mwaka Mh.Jk amesema kabisa kwa sada Serikal haiitaji walimu wa arts wametosha mwaka jana wanaitajika walimu wa sanayansi tuuu kwaiyo kwa wale waluosoma UALIMU na wanaosoma...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…