Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Vyuo vikuu vitatu vya Tanzania ambavyo vilishiriki katika mashindano ya mjadala wa Afrika kuhusu Sheria za kimataifa za haki za kibinaadamu yalioandaliwa na kamati ya kimataifa ya shirika la...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Serikali imebaini kiasi cha Sh. bilioni 3.1 zimekuwa zikitolewa kama mishahara hewa kwa walimu wa halmashauri mbalimbali nchini. Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jf napenda kuuliza kwamba boom kwa wale transfered students hususan faculty za education(science)lini linatoka mwenye ufaham atujuze Akhsanten
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jumuia ya wanafunzi wa taasisi za Elimu ya juu(TAHLISO) imeipa serikali siku saba kuhakikisha imetoa fedha ya mkopo kwa wanafunzi ya ishirini na nane elfu na thelethini na saba wa mwaka wa kwanza...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachuo BAED, SAUT - MWANZA CAMPUS. Mwaka huu wa kwanza 2014 nina self sponsorship ila nahitaji kuomba mkopo wa elimu ya juu mwakani, kwa wale wenye uzoefu na haya mambo ninaweza pata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivyo ndivyo hali ilivyo, vijana wanasoma stashahada ya juu(higher diploma) na mafunzo yote hapa yanaendeshwa kwa mfumo wa chuo kikuu academically yaani pindi linapigwa kisha notes ni gharama ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sijajua ni mazoea au ni malezi, kuna mama mweupe mmoja yupo ofisi ya admission, hana huruma na wanafunzi hata kidogo, mimi nilienda kufanya clearance yangu leo, kumbe vijana wanafanya mitihani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni mnijuze wana Jamiiforums, Ikiwa umepata mkopo na ukashindwa kwenda kuanza masomo mwaka huo. Je,kuna namna ya kufanya ili mkopo wako utumike mwakani? Msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba msaada wa tuition nzuri kwa masomo ya A-level combination za PCB NA PGM. zinapatikana wapi? Wanafunzi wanakaa Gongo la mboto
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Msada jaman kwa wataalamu wa namba! Tafuta kigawo cha namba 15 na 18 kwa njia ya kupangua.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Maskendo yote ya ufisadi serikalin yanaratibwa na graduates from udsm for more than 90% hebu tubadilike jamani EPA, Escrow Tegeta... Ni mifano tu. Na inazimwa na wanasheria graduates wa udsm...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu. Nimejaribu kufanya process ya ku appeal mkopo lakini inashindikana kwa sababu kila nikiingiza codes nilizopewa baada ya kulipia mpesa napata ujumbe kua The transaction code does...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
3 Tanzanian universities flop in law debate By The Citizen Reporter Posted Wednesday, November 26 2014 at 10:52 Arusha. Three Tanzanian Universities which participated in the African...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama mtakumbuka,serikali imekuwa ikifanya jitihada kubwa ya kulipa madeni ya watumishi ikiwa ni pamoja na madeni ya walimu. Madeni hayo yamekuwa yakilipwa baada ya kufanyiwa uhakiki na timu ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wanaojua zaidi kuhusu mfumo wa NACTE kuendesha mafunzo haya ya stashahada ya elimu ya msingi atujuze kuhusu yafuatayo: je, uvaaji uniform umo?, ulinzi getini upo?, Usafi wa maeneo aka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kumekuwa na kelele nyingi kuhusu ujenzi wa maabara ulioamriwa na Rais Kikwete. Mwelekeo unaomnyesha kuwa tafsiri ya maabara kwa upande wa serikali ni majengo. Kwanza sipingi wazo la wananchi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu.naombeni msaada kuhusu vyuo vinavyofundisha kozi ya elimu ya awali.km kuna mtu anazifahamu anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wadau ninashida muhimu naomba kwa yeyote mwenye anwani ya posta kwa nilio wataja hapo juu naomba anipe
0 Reactions
0 Replies
4K Views
SALAAM, Swali langu ni je mhitimu wa ngazi ya shahada katika fani ya elimu anaweza kupata post ya ajira hata kama bado hajakamilisha vizuri masomo yake? Namaanisha labda bado ana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kituo. Cha kazi , awe anatoka. Mikoa ya Kilimanjaro ,Arusha, Manyara. Dodoma, Tanga na Singida , Mimi niko mkoa wa Lindi wilaya ya Liwale. Mawasiliano 0656...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…