Ndg wana jf naomba kujuzwa kama kuna tofauti ya karo kwa mafunzo hayo maana nacte waliandika gharama ya mafunzo ya stashahada ya juu ni laki 6 but kuhusu mafunzo mengine hawajasema kuwa kiasi gan...
ndugu zangu ni kwamba wadogo zetu hawaelewi utaratibu wa kuchaguliwa kujiunga na vyuo vikuu ...ni kwamba kawaida tcu huteua wanafunz na kuvipelekea vyuo majina kwa ajili ya kuyaprove ...kwa hiyo...
Kwa wote mnaosubr admission mnatakiwa kuwa wavumilivu kwa sababu hatuna jinsi ndugu zangu kwani tushadanganywa kama watoto,afu kwa wale wanaoleta hofu na huku hawaja ona kitu chochote wakome...
My brother's and sister's...naombeni mnieleze ukweli kuhusu BACHELOR DEGREE IN DEVELOPMENT FINANCE AND INVESTMENT PLANNING inahusiana na nini and what am I expect to be after graduate?
Hey guys has anyone tried to log in in his/her TCU account today? coz I have tried this morning around 9:40am with failure and it doesn't give any error message.
Hivi kama mtu amemaliza degree ya kwanza labda ya education kwa masomo ya physics na mathematics,je anaruhusiwa kusomea advanced diploma ya enginearing,na vip kwa aliyesoma degree ya education...
Hivi wadau kuna ukweli wowote kuhusu maksi za continuous assessment kuchangia kwenye matokeo ya mtahiniwa ya mwisho,hapa naongelea kwa form 4 na form 6.
Salamu sana wadogo zangu!
Nawaletea majina ya walichaguliwa TCU kwa mwaka 2011/12
NB:- Kwa wale wadogo zangu Group B ,hamjawa allocated Mkopo toka HESLB but endeleeni kujaribu kufuatilia...
Hivi mtu akichaguliwa kusoma Bsc.nursing kwa miaka minne akimaliza anaweza soma MD KWa ufauli alio upata kutoka kwenye degree ya nursing? Na njia gani atatumia kufika huko kuanza kusoma MD? Msaada...
Tazama hii picha.
Huu ni mtihani wa mwanafunzi wa kidato cha tatu, anategemewa awe kidato cha nne mwakani, kaishia kukopi maswali ya mtihani tena ovyo ovyo bila kueleweka na kuyakata kisha...
Selection wanatangaza rasmi jumatatu ya tarehe 22/9.
Napenda kufahamishwa HESLB utaratibu wao upo vipi?
Je selection huambatana na majibu ya mkopo?
Thanks.
Chum Kane.
Stone Town.
habarini za sizi wana jamvi mimi kwenye application yangu ya second round chuo cha kampala ndo nimeandikiwa successful selected kwa bachelor of art with education sasa wanajamvi vipi kuhusu...
Admissions Announcement Applicants for the Academic Year 2014/2015
The Catholic University College of Health and Allied Sciences (CUHAS) [ Former, Weill Bugando University College of Health...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.