Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Mimi mwalimu kutoka wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi kutoka mkoa wa Arusha,Kilimanjaro au Tanga idara ya msingi.kwa mawasiano zaidi 0753624792
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Jamani kuna utofauti gani kati ya:- 1)Bachelor of education in adult and community , 2)Bachelor of education in adult education and development na 3)Bachelor degree in adult and...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa??? Natumaini wote mpo salama. Naomba niwasilishe mada yangu ambayo imekua ni tatizo kwa watanzania wengi kuhusu elimu ya A-level.Hivi ni vigezo gani mtu anatakiwa awe navyo...
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Wadau naomba mnifahamishe vzr kwa wale mnaojua Kuhusu hii kitu pamoja na Qualification zake kwa upande wa open univercity au hata collage Sent from my Moaberry
0 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
4 Replies
3K Views
PUBLIC NOTICE ON ADMISSION STATUS INTO HIGHER TRAINING INSTITUTIONS 2014/2015 Central Admission System (CAS) opened on 8th April 2014 and closed on 31st August 2014. A total number of 17,087...
0 Reactions
97 Replies
27K Views
Naomba msaada juu ya hili...kupitia Certificate na Diploma kwenda Degree na kupitia Advanced level kwenda kusoma Degree, kipi ni bora zaidi na if possible mtoe maelezo kidogo. Shukrani sana
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jaman naomben kuuliza inawezekana mtu wa second selection akachaguliwa ..frst selection alio chagua kwenye kujaza vyuo
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka 2013 PCB. Nikapata EED na form four nilipata div 2 ya 21. Sasa nilikuwa nafikiria kusoma diploma ya ENVIRONMENTAL SCIENCE pale MUHAS. nilikuwa naomba...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habarini wana jamii forum mimi nauluza kuhusu hizi joining instruction za chuo baada ya kua selected je unatumiwa kwenye email yako au utaipata wapi na je huwa zinakawia sana au saelection...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba anayejua ni wapi kwa hapa TZ chuo gani wanafundisha kozi za GIS na gharama zake pamoja na muda wa kozi kama ni certificate au diploma kama itawezekana
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Hivi hili neno BOOM au sijui ni BUM lina maana gani? Na ni lugha gani? Na kwa nini wameamua kuita boom? Msaada Tafadhali!
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Naomba tujuzane kwa wale wanazozijua kozi hzo.
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Naomba msaada wenu link yenye matokeo hayo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi, kama kuna mtu anaelewa kuhusu hii coz(technology in agriculture) inayo tolewa chuo cha st joseph kuanzia masomo yake yakoje,sehemu ambazo naweza kupata kazi na chengine...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
NACTE ilitoa tangazo kuwa wanaoomba uhamisho diploma health program wanaombwa itakapofika 18 sep wasitishe zoez hilo ili wapishe zoezi la kuomba ufadhili litakaloendelea had tar 25 sep na ndipo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Yani idadi ya raia tunaopiga supp hapa ni kubwa sana, utadhani chuo kishafunguliwa vile. Nimekutana na kundi la vijana flani wa kizungu ambao nao wamedakwa wanalalamika kwa kusema mfumo wa elimu...
1 Reactions
159 Replies
19K Views
  • Closed
Ukistaajabu ya Bunge la Katiba utayaona ya TCU. Ama kweli taifa letu la Tanzania linauliwa na Watanzania wenyewe hebu ona uozo unaofanywa hadharani na TCU kwa kufanya mambo hovyo hovyo kabisa...
1 Reactions
86 Replies
13K Views
Naitwa abel kikimba ,nimkazi wa Iringa,natokea katika familia yenye hali ya chini sana kiuchumi, kias kwamba kwa elimu ya sekondari nimejisomesha hadi hapa nilipofikia,kwa sasa nimechaguliwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…