Habari wanaJF!
Nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mwenye kujua chuo kilichosajiliwa na kinachotambuliwa na serikali kinachotoa kozi ya Uuguzi na Ukunga kwa ngazi ya cheti/stashahada...
Habari zenu wana Jamii forum. naomba kuuliza kama ili linawezekana maana liko nje ya uzoefu wangu..
Nimepata scholatrship ya kusoma Japan (masters degree by research). sasa baada ya kuaply kwenye...
Kwa Tanzania watu wanasema ama kwa kumaanisha au kwa kutania kuwa fani iliyokosa mwelekeo na yenye watu waliokosa la kufanya na maskini ni ualimu. Lakini Jack Ma Yun maarufu kama Jack Ma kitaaluma...
Nina binti mwenye miaka 4 na miezi 7 sasa ! kutokana na uwezo wake wa kuchnaganua mambo nilijua ataanza shule akiwa na miaka 5 tu ! Lakini cha kushangaza amekuwa mzito ,hadi sasa hajajua kusoma...
Norwegian Government offers Quota Scheme for Developing Countries' Students to study at selected Norwegian Universities. The scheme normally includes courses taught in English at Master's and PhD...
Wadau nadhani mnanipata vizuri, vp kuhusu hawa waliohitimu digrii ya Education wao hawapelekwi JKT? Mwenye tetesi yoyote kuhusu hilo tujuzane. Ni hayo tu wadau.
1.What are the ways used to present Historical events.
2.What are the ways used to get Historical information?
3. What are the ways used to get historical events?
4. What are the sources of...
Habari zenu wanajamvi, naombeni ushauri katika hili.
Nahitaji kusoma diploma online, Naomba mwenye uelewa ni chuo gani cha nje chenye tawi hapa dar au cha ndani ambacho ni kizuri kwa wanaosoma...
Ndugu watanzania wenzangu naomba tuangalie suala la elimu na hasa kuhusu suala la ujenzi wa mahabara katika shale zetu za kata. Serikali inamtaka Lila mwananchi aahiriki katika ujenzi wa maabara...
"Anyone who stops learning is old, whether at twenty or eighty. Anyone who keeps learning stays young. The greatest thing in life is to keep your mind young.Henry Ford"
Ni dhahiri kuwa nchi...
Matokeo ya mitihani kwa supplementary ya Dar es salaam istitute of technology yametoka jana tarehe 17, kwa idara zote matokeo yamekua mabaya sana maana kwa diploma wengi wanarudia mwaka "retake"...
Wakati wa kujaza fomu za mikopo ya elimu ya juu(Heslb) kuna kipengele cha kuwekwa sahihi na hakimu/wakili.Na kwenye mahakama zetu walikuwa wakitoza sh.5000/= mpaka 10,000/= ili kuweka sahihi...
MABINTI PACHA WALIOUNGANA KUHITIMU KIDATO CHA NNE
HATUA ya kwanza ya ndoto ya kuzama katika elimu ya mabinti pacha walioungana kiwiliwili, Consolata na Maria Mwakikuti (18) wa Kijiji cha Ikonda...
Shule ya sekondari kizomla iliyoko kata ya Mkamba wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani ina wanafunzi wawili tu wa kidato cha tatu.
Shule hiyi iliyoko umbali wa takribani km 80 hivi kutoka mkoa wa Dar...
hiv wale ambaw hawakuchaguliwa fist selection na TCU na second selection available slots hazikuw ndio lengo lao, mnawashauri nn au watatimiza vp ndot zao hasa ndugu zetu wa CBG na PCB
serikali imewaacha wadogo zetu haijawapeleka katika vyuo vya ualimu je ndo basi au wana mpango gani juu yao au ndo elimu yao imeishia hapo naomben msaada wenu kwa ufafanuzi zaidi