Habari wanajf?
Jana nimeshangazwa sana na viongozi waendeshaji wa semina ya mafunzo kazini ya masomo ya sayansi (biology,chemistry,physics na math) kwa walimu baada ya kutoa tamko kuwa semina ni...
TCU wametoa taarifa mpya kuhusu wale ambao wamechaguliwa second round. Wamekiri ni kweli wengi waliokosa ni wale wa masomo ya PCB na CBG na wamewaambia nini cha kufanya sasa. Pia wana habari kwa...
Jamani eti nikweli kwamba tcu wakisha toa majina ya walio chaguliwa kujiunga na vyuo hua wanatoa muda kwa wale wanaotaka huhama vyuo ili watume maombi ya kuhama vyuo walivyo chaguliwa kwenda vyuo...
Kwa yeyote mwenye uelewa na hili swala anisaidie, watu wanasema kwamba automobile eng ni part ya mechanical eng. sasa inakuaje automobile eng duration ikawa 4 yrs na mechanical ambayo ndiyo kubwa...
Tume ya vyuo vikuu imesema kuwa kuanzia mwaka wa masomo mwaka 2014/2015 nakuendelea, wametoa ada elekezi kwa kila chuo ili kupunguza ulipaji wa ada kubwa kwa vyuo binafsi na serikali.
ADA ELEKEZI...
Habari wana JF,
Naomba kuuliza kama kunayeyote anataarifa kwenye CAS-Profile yake kuwa not eligible.
maana kwenye tangazo lao linasema kuwa:
17043 applicants who have applied to Bachelor degree...
Mch. Christopher Mtikila alimshambulia Peter Serukamba eti ni Mtutsi. Akasupport hoja yake kwa kusema eti ni Serugamba. Kwa mawazo ya Mtikila jina Serugamba linamfanya kuwa Mtutsi. Tumsamehe bule...
Attention to all applicants of degree programmes for the academic year 2014-2015, Tcu- list first
selection is out. Click to view the details
----------------------- Page 1-----------------------...
Nimekerwa sana na kitendo cha naibu mkuu wa chuo cha CBE, Bw Othman Hemed na timu take kukataza wanafunzi kuvaa mitindo mbalimbali ya nguo na kuamuru wavae mitindo anayopenda yeye kwa kisingizio...
Waheshimiwa nimchaguliwa hiyo kozi tajwa hapo, ninachotaka kujua ni je ukimaliza hiyo kozi unaweza kupata ujuzi pia wa kutengeneza/kuunda madawa??.. pia nimesikia ajira zake serikalin ni ngumu...
Habari zenu wana jf. . Msaada jamani mbna kwa wale tuliomba diplom udom kwenye profle zetu zimeandka chekng in progres afu ukingia kwenye orodha ya majina unakuta umechaguliwa wa then zinakuja...
Habari zenu wakuu.. Nahitaji nmsaada kuhusu hili:
Eti kwa mfano mtu first degree umesoma Bachelor of Science in Telecommunication Engineering je kuna uwezekano wa mtu huyu postgraduate kusoma...
- CALL FOR APPLICATIONS -
The Center for Cultural Diplomacy Studies (CCDS)
Center for Cultural Diplomacy Studies | Home
The Center for Cultural Diplomacy Studies (of the Academy for Cultural...
kwa anaye fahamu:faculty ya BS IN PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT; YA ARDHI ANIFAHAMISHE;inahusiana na kitu gani na soko lake likoje LA ajira..,msaada wadau.
Hakikisha unalogin kwenye account mara kwa mara ili kuhakikisha kuwa jibu ulilolipata ni lile au limebadilika. Yawezekana ulichagua kozi ukaambiwa You have been selected lakini baada ya muda...