Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu nimekaa kwenye ajira ya ualimu miaka miwili sasa! nilienda chuo cha diploma nikiwa na principal mbili (E) na Subsidiary moja (S) maana nilikuwa PCB, Sasa chuo nilipata GPA ya 3.3, vp...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa TCU guide book2014/15 inasema Principal pass ni A to C na D ni pass. Pia imesema ili mwanafunzi ajiunge na chuo kikuu anatakiwa kuwa na angalau Pass (D) mbili.Na ukiangalia mfano...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Msaada kwa anae fahamu prospectus ya diploma in health(lab,nursing na pharmacy) 2014/2015 anijuze hapa
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu, Shalom. Natafuta ushauri na maoni ya chuo kinachofaa kusoma by distance/online learning MBA au project management kinachotambuliwa na TCU. Nimekuwa najaribu kuangalia vyuo vya India but...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachuo nasoma CO.naomba mnisaidie ni chuo kipi cha faa sana kwa udaktari?na kwa sasa vigezo vyao ni vipi ?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Heshima yenu wakuu!! 2012 nimemaliza o_level nikapata dv4 ya points 26., hist_c, kisw_c, civ_d, geo_d, engl_d, bios_d, chem_d, math_f nimejarbu kuomba ualimu pamoja na vyuo vya afya vyote...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wadau, nipo hapa kuwapata wenzangu tunaoelekea katoke teachers college, namba yangu 0756329300
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ikiwa umesoma CBG A-level unaweza kusoma medicine
0 Reactions
47 Replies
17K Views
naomba kwa aliyewahi kusoma masters south Africa anijuze bajeti inakua around ngapi mwanzo hadi mwisho kwa kukadiria tu coz yoyote ile ili nijue ramani inaanzia wapi hata kwa kurange tu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
natafuta mtu atakaeweza kuedit kazi yangu ya research report katika lugha(grammar) kama upo nipm please
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Please naomba kwa yeyote aliewahi au kugraduate makita high school kuhusu mahitaj ya shule kwa wanaoanza F5, au mwenye joining instruction anipm.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Naombeni msaada namna ya kuomba ufadhili kwa sisi wanafunzi tuliochaguliwa ktk vyuo vya afya mwaka huu, nimeona tangazo kuwa mchakato unaendelea lkn ku-apply for it nashindwa
0 Reactions
1 Replies
838 Views
Kwa anaye jua lolote kuhusu hii course aniambie jamani kama vile 1) soko la ajira lipoje 2) mtu anae anza kazi mshahara wake upoje 3) maeneo gani mtu alie soma hii course anaweza fanyia kazi 4)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau,ninatatizo la kuzungumza lugha ya kiingereza vizuri kwa ufasaha na uhakika,nataka kujisalimisha British Council kabla sijaumbuka...sasa kwa anayejua ada zao na lini wanaanzaga kozi zao...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Anaitwa mwanaisa. Ni binti mwenye umri wa miaka 21. Alikulia katika kijiji kimoja huko Moshi. Alisoma mpaka kidato cha tatu lakin kwa bahati mbaya wazazi wake walishindwa kulipa ada ya mtoto wao...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
kwa wale wanaotaka kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza mwaka 2015 jibu ni Oswe girls na Oswe boys zilizopo jijini mbeya maeneo ya wilaya ya mbozi. shule ni za bweni na mazingira safi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataraji mwakani niaply MA kama naweza pata chuo,Udsm na Udom wanataka3.5.Masomo yangu ni History na Geog na nilisomea BAED MUCE,naomba ushauri mana nina wasi na hiyo GPA
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Wadau vip? Nataka ni edit selection zangu TCU au nitaharib!! Coz naskia dedln tar 6 mara dedln imepita xo haielewek
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Samahani sana wakuu, Ninaomba kufahamishwa taratibu za kujiunga na jeshi la magereza au uhamiaji kwa walio hitimu kidato cha nne mwaka 2013 Je nafasi zao hutolewa lini? Na mafunzo hayo hutolewa...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
In a move to match the grading system in secondary education to that of higher learning institutions, the National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has introduced the Grade Point Average...
0 Reactions
9 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…