Picha:Zainab Chondo
Tume ya vyuo vikuu ( TCU) imetoa tamko la kusimamishwa kwa chuo kilichoanzishwa huko kimara njia ya kwenda Bonyokwa kinachojiita TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY . Tume hiyo...
Benjamin Nkonya
Permanent Candidate Identification Number to be used by a student right from primary school all the way to higher learning institutions should be instated to stop foreigners from...
Wadau wa elimu, serikali kwa mara ya kwanza imechagua walimu kibao kusomea stashahada elimu ya awali, je waliochaguliwa ni div iv? Watasoma miaka mingapi? Wataajiriwa na serikali? Kwani shule za...
Wadau wa elimu hebu tunaomba kumshauri ndugu yetu aliyehitimu kidato cha 6 na sasa hivi tupo naye jkt,
nisiende mbali coz amenituma niwafikishie kwenu na mumshauri yaliyomema,
kiujumla matokeo...
Napenda xana kuwa mwalim, ili kukamilisha malengo yang nimeweka frst choice ''bachelor of education for special need''
Hiyo coz vip inalipa au majanga?
Nimesubiri kwa muda mrefu sana nikijua nitachaguliwa mpaka muda wa kuapply vyuo umepita, jana majina yametoka chaajabu jina langu halipo na ukizingatia nimekaa miaka ming sana nyumban ualimu ndo...
Kwa anaye fahamu masonya secondari ipo wapi mkoa na kama kuna mtu ana mawasiliano au au nae ndugu ake kachaguliwa huko plzzzz tarfa yoyote kuhusu masonya secondary
Habarini ndugu zangu,ninashida ya kupotelewa cheti cha kidato cha nne na cha sita sasa nimetangaza katika gazeti na nimeripoti polisi loss report ninazo,Sasa naomba juzwa nawezaje pata cheti...
wakuu nasikia hizi tetesi kua form 5&6 tutafanya mitihani ya mock na necta mwezi wa 2 kutokana na mambo mbalimbali serikalini mfano uchaguzi! na je kama tutafanya mwez wa 2 mtihani utatoka katika...
Habari wakuu,
Naomba msaada kujua kuhusu post graduate diploma in education. Nmemaliza chuo mwaka huu na nataka kuunganisha nisome post graduate, naomba ushauri je chuo gani naweza kusoma na...
1. Who will I live with?
Living in student accommodation for the first year at uni is the best way to meet new people. So don't worry too much who you are going to live with in your first year...
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, umebainisha elimu ya afya ya uzazi bado inahitajika ili kuwakinga na tabia hatarishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.