Wapo wengi wanatamani kuwa serikalini baada ya kupoteza nafasi hizo kwa dharau ya mishahara kuwa ni midogo.
Ni dhahiri kuwa kuna tofauti ya mishahara kati ya serikalini na private.. Bt lengo langu...
Wakuu,
Wale wenye principal pass moja na wakasoma certificate mwaka mmoja na wameomba kujiunga degree kupitia TCU. Je, vikwazo gani mmepata wakati mkiapply? Nataka nami nilipie but ningependa...
Mwanzoni niliapply afya kupitia Nacte nimechaguliwa chuo cha private ila nimeshindwa ada zao kubwa 2.4M nikaona bora niapply tena teaching kupitia Nacte nimeshindwa second step wanasema error your...
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu Tumaini Makumira Arusha mbona kimya kimewazidi? Mtuweke wazi waja wenu kuhusu pesa za TP tujue zipo hazipo ili tuanze kazi Juma tatu!
habarin za jion,,!
kama kuna yeyote aliyewah soma chuo hiki naomba afunguke kuhusu mazingira ya chuo yapoje, pia elimu inayotolewa pamoja na changamoto zilizopo hapo chuoni..nitashuru kwa msaada wako
UKWELI KUHUSU MAFUNZO YA JKT 2014. MUHIMU SANA.
JESHI LA KUJENGA TAIFA LINAWATANGAZIA VIJANA WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KUWA WANATAKIWA KURIPOTI KWENYE MAKAMBI...
Kuna habari za kuaminika kutoka vyanzo vilivyo serikalini inayoelezea mabadiliko mazuri ambayo yako mbioni kufanyika mintarafu mizani na vipimo vya kupimia wanyama hapa nchini.
Kufuatia mafanikio...
kwa yeyote aliyefanya registration TCU kupitia website yao ...!
mbona hamna sehem ya account creation kun sehem ya log in tu! (how to create an account)
hii wanayoita voucher number inapatikana...
Rais wa TAHLISO na rais wa DIT inasemekana wamekamatwa tangu jana na wapo kituo cha polisi cha Osterbay wakihojiwa kuhusu maandamano ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu yaliyopigwa marufuku na...
Habari wana jf Kwa anayejua naomba anijuze bei ya hivi vifaa walivyotuagiza kwenda navyo chuoni 1:stethoscope 2:BP Mashine 3:Thermometer Naiwasilisha kwenu shukran
Akiongea na EATV katibu wa heslb amesema wanafunzi 58307 wametuma maombi ya mikopo.Kasema bodi inauwezo wa kukopesha wanafunzi 30000 tu wa mwaka wa kwanza.
WANAFUNZI 28,037 KUKOSA MIKOPO...
Ndugu,
Kwa muda mrefu sana masomo kama muziki na sanaa kwa jumla yamepuuzwa sana katika mfumo wetu wa elimu. Wataalamu wa makuzi ya ubongo wanasema kwamba kujifunza kupiga vyombo vya muziki kuna...