Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna wilaya ambayo walimu wamelipwa fedha za likizo ya june 2014? Huku kwetu mpaka august inaisha hakuna kinachoeleweka.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Salamu ndugu Wakuu namba msaada kupata joining instruction ya chuo taja, kuna bwana mdogo amechaguliwa kwenya hapo ila jamaa awajatuma join instruction mpaka sasa na chuo kimekaribia...
1 Reactions
1 Replies
9K Views
Wadau kama kuna mtu anajua chuo chochote cha private ambacho naweza kusoma diploma ya course za afya bila kupitia nacte anijulishe jamani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau kati ya kozi hizi mbili,kozi gani ni marketable na ni rahisi kuajiriwa/kujiajiri..
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Mchango wako ni wa muhimu na sababu pia ukiweka utanisaidia mimi/ na wengineo zaidi
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Habari wadau naomba msaada kwa yeyote mwenye kitabu/vitabu vya economics au syllabus ya economics v&vi anipm tafadhali ili anitumie natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Guyz nimemaliza form 6 dic yeah nilisoma CBG NA TOKEO LIKAJA HIVI...... Chemistry-C Biology-C Geography-B Gs-C Bam-C...... Mara baada ya TCU kutangaza tarehe ya application nilifanya application...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
jaman nimeingia kwenye profile yangu, nimekuta nimechaguliwa lakin kuna mahali pameandikwa kwamba natakiwa kuconfirm alafu ikasema to confirm click the confirm button alafu hiyo button siioni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndio wakuu naombeni msaada hapa heshima yenu kwanza nauliza tu nataka kuchukua medicine sasa ni lazima nichukue pcb au kuna alternative nyingine pia by the way nataka kusomea uganda naombeni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau, naomba mwenye materials ya somo la Procurement Management lililo kwenye mitihani inayosimamiwa na PSPTB anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi. Mimi ni mwanafunzi nime maliza diploma mwaka huu 2014 name nina nia ya kuendelea na masomo yangu na matokeo ya chuo nilicho maliza yako NACTE tayari ila kila nikifatilia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani kama kuna mtu ana joining instruction ya chuo tajwa hapo juu anisaidie kunitajia mahitaji muhimu na mawasilio ya uongozi wa chuo! Ahsanten.
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Habari zenu wapendwa... Ni hivi kati ya land manangement na geomatics ipi ni kozi nzuri zaidi..zote zinatolewa ardhi zote miaka 4 zote ni priority katika mikopo...naomba kujuaa ipi ni nzuri...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamani kuuliza si ujinga, nimemaliza form six 2005 combination yangu PCM. Nauliza kama nitaweza kupata chuo kwa education !! Naomba kuwakilisha!!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ningependa kujua hii course ya building economics pale ardhi ina market
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Cosmas Mwaisobwa, HESLB Director of Information, Education and Communication 26th August 2014 Some foreign students masquerading to be Tanzanians are among the beneficiaries of loans issued by...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nina jamaa yangu amesoma degree ya kwanza BSC with education, lakini sasa anataka kusoma tena ,sasa amepata postgraduate diploma ya project planning and management na Masters of arts in education...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Vipi kuhusu hii fani chuo kikuu cha dar es salaam inamvuto au ndio kusubiri?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni kuelekezwa jinsi ya kufanya application kwa vyuo vya zanzibar ambavyo vipo kwenye kitabu cha TCU
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Shule haina huduma yoyote ya kishule kuanzia bweni, watoto wanalala kwenye godown la kanisa, pia humo humo kunavyoo vichafu hatari, Hakuna walimu wa A level hata mmoja, na kuna combination kibao...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom