May I want to Be a Doctor?
Ngoja leo nifichue siri ... Elimu ya Tanzania haijafa, Imeuwawa.
Najua siri iliyofanya mtoto wa mbwa awe kibaka, siri ambayo imekosa mtu jasiri wa kuiweka hadharani...
Msaada ndugu zangu. Ndugu yangu kapatwa na matatizo ya kikazi, wanataka kumfungia mshahara hivyo kaamua kuahirisha chuo ili atimize masharti ya ajira yake.
Jamaa wamekomaa kwamba arudi kazini...
Wadau naombeni msaada nilifanya application ya vyuo kupitia tcu sasa mpk saa hv nikiingia kwenye profile yangu nakuta not yet processed kwenye zile coz nilizochagua..
Naomba kuelezwa ubora wa chuo hiki,nataka nikasoma diploma ya medicine(diploma in clinical medicine).. nimejaribu kukitafuta kweny list ya vyuo vya NACTE sijakiona lakn kuna watu wamesoma na...
Habari,
Ukiwa umesomea Bcom pale UDSM unapata exemptions ngapi za mitihani ya ACCA?
Na kama umesomea ADA pale IFM pia unapata exemptions ngapi za ACCA?
Mnisaidie kwa hili wakuu.
Muchas...
Wadau hivi walimu walioaplai mafunzo ya diploma ya Elimu ya msingi post zao zinatoka lini?
Pia masomo wataanza lini naona wenye viti bado wako kimya kabisa naomba wenye news wawajuze
Habar za humu wakuu, mimi ni mwajiriwa mpya serikalini, na katika mipango yangu ya muda mrefu ni kusoma master pindi nitakapopata permanent employment.
Kwa bahati mbaya nimepangiwa mkoa ambao una...
habari ndugu zangu.
Mimi ni mmoja kati ya waombaji walioitwa kwenye interview ya catholic scholarship programme of Tanzania(csp-tz), hivyo naomba ujuzi au muongozo wa maswali kwa waliopitia...
Heshima yenu wana Jf
Nlikua nahitaji msaada wa kujua haswa course ya health system management inahusu nini.? Soko na ushindani katka ajira.? Faida na hasara zake...
Nimemaliza form six ndugu...
Habari zenu ndugu zangu wa jukwaa hili. Ombi langu ni kwamba natafuta mtu ambae anaweza kunidhamin ili niweze kusoma postgraduate ya education kwan nimegraduate procurement ana supplies lkn...
Walimu wanalalamika kuwa formula mpya ya kukokotoa mafao ya wastaafu imewapunja. Mko sawa kabisa, very sad news! lakini kuna wenzenu walikuwa wanapata milioni 5, 1.4, 1.8 M Tsh baada ya kufanya...
wana JF msaada wa ushauri kwa mtu aliyefanya mtihani mwaka 2012 na matokeo yake yakawa hivi geography D, History D, kiswahili E na GS kapata F anaweza chaguliwa kujiunga na Elimu ya chuo kikuu ?.
Habari za mchana wakuu?natumaini wote ni wazima wa afya telee...wakuu nilikuwa naomba mnisaidie shule nzuri za private A-LEVEL kwa michepuo ya PCM NA PCB katika mikoa ya KILIMANJARO NA...